Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,894 155,916 Sep 6, 2011 #1 Hapa Chang'ombe Bora mbele kidogo ya magorofa kuna mafundi seremala, nyumba wanayofanyia kazi inaungua, napiga simu namba ya dharura, sijawapata, nimesha ripoti Chang'ombe polisi
Hapa Chang'ombe Bora mbele kidogo ya magorofa kuna mafundi seremala, nyumba wanayofanyia kazi inaungua, napiga simu namba ya dharura, sijawapata, nimesha ripoti Chang'ombe polisi
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,111 115,906 Sep 6, 2011 #2 dharura au fire? piga simu fire kwanza
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,059 Sep 6, 2011 #3 Endelea kutujuza kitakachokuwa kinaendelea mkuu Asante kwa habari
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,894 155,916 Sep 6, 2011 Thread starter #4 Nimesha ondoka Chang'ombe narudi nyumbani Mwenge.
AirTanzania JF-Expert Member Mar 17, 2011 1,139 1,035 Sep 6, 2011 #6 Rejao said: Endelea kutujuza kitakachokuwa kinaendelea mkuu Asante kwa habari Click to expand... Usifanye Members wakapewa BAN hapa na hayo Masuti yako ya mgao
Rejao said: Endelea kutujuza kitakachokuwa kinaendelea mkuu Asante kwa habari Click to expand... Usifanye Members wakapewa BAN hapa na hayo Masuti yako ya mgao
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,894 155,916 Sep 6, 2011 Thread starter #7 The Boss said: dharura au fire?<br /> piga simu fire kwanza Click to expand... <br /> <br /> Nilipiga namba yao ya Landline ikawa haipokelewi ndio nikaenda Chang'ombe kutoa taarifa
The Boss said: dharura au fire?<br /> piga simu fire kwanza Click to expand... <br /> <br /> Nilipiga namba yao ya Landline ikawa haipokelewi ndio nikaenda Chang'ombe kutoa taarifa
rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 Sep 6, 2011 #8 Rejao said: Endelea kutujuza kitakachokuwa kinaendelea mkuu Asante kwa habari Click to expand... rejao kuna ndugu zako pale
Rejao said: Endelea kutujuza kitakachokuwa kinaendelea mkuu Asante kwa habari Click to expand... rejao kuna ndugu zako pale
Lutala JF-Expert Member Jun 17, 2010 848 103 Sep 6, 2011 #9 Bujibuji said: <br /> <br /> Nilipiga namba yao ya Landline ikawa haipokelewi ndio nikaenda Chang'ombe kutoa taarifa Click to expand... Hongera mkuu kwa jitihada ulizochukua. Tunahitaji watanzania wenye moyo kama wako katika kuipigania na kuijenga tanzania ya kweli
Bujibuji said: <br /> <br /> Nilipiga namba yao ya Landline ikawa haipokelewi ndio nikaenda Chang'ombe kutoa taarifa Click to expand... Hongera mkuu kwa jitihada ulizochukua. Tunahitaji watanzania wenye moyo kama wako katika kuipigania na kuijenga tanzania ya kweli