Wana JF, Kuna milipuko kama nane imetokea eneo la Kigamboni Dar. Mimi nipo mtaa wa Samora naona wingu kubwa la moshi eneo la Kigamboni. Haijafahamika kama yanatokea eneo gani kule Kigamboni. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Wana JF, Kuna milipuko kama nane imetokea eneo la Kigamboni Dar. Mimi nipo mtaa wa Samora naona wingu kubwa la moshi eneo la Kigamboni. Haijafahamika kama yanatokea eneo gani kule Kigamboni. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Kimepimwa? Size gani? Bei kiasi gani funguka tufanye biashara alpha!
..Mh!!nauza kiwanja kigamboni gezaulole
huwa sioni kazi ya hizi tume....Historia imejirudia tena, ilianza Mbagala, ikaenda Gongo la Mboto sasa Kigamboni, subirini iundwe tume ya uchunguzi
Sindiyo anafanya utafiti au ulitaka akaufanyie wapi utafiti wake...au kigamboni hakuna wana JFAcha ushaku naku jamani hata wanajeshi wakipiga mizinga yao basi ni milipuko mbona hivi Watanzania tuwe tunafanya reseach kabla ya kusambaza habari jamani..