Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Madereva daladala wamegoma kutoa huduma mjini Morogoro kwa kile walichokitaja kuwa kero kubwa kwao kulipishwa ushuru wa Tsh.300/=kwa kila safari wanayofanya waingiapo kwenye Stand ya Manispaa hiyo.Huku wakisisitiza mgomo utaendelea hadi hapo Uongozi wa Manispaa watakaporekebisha huo utaratibu wa kifisadi.Source Itv Breaking News