Breaking news: Lipumba atimkia CHADEMA

Breaking news: Lipumba atimkia CHADEMA

Habari za hivi punde zinasema aliyekuwa mwenyekiti wq CUF Prof. Ibrahim Lipumba ametimkia CHADEMA na wanachama wengine kadhaa LEO TAREHE 1 APRIL!
Habari hizo zinathibisha kuwa hata Mchungaji Msigwa naye ameamua kujitoa ccm rasmi na wanaccm wengine kadhaa
Siku wa ndondocha duniani
 
watasema ni Artemis 2, trip to the moon orbit
 
Leo ni Aprili Mosi, siku ya wajinga duniani. Tuwe makini 😂
Mkuu tofautisha kati ya 'uongo' na 'ujinga'!

Kama itakuwa ni habari za 'kubhumba', basi'apo mhusika atakuwa katudanganya.

Ujinga ni kutokukifahamu kitu kinachoeleweka kwa fact, kudanganywa hakukufanyi kuwa mjiga hata sikuhii, moja.
 
Leo ni Aprili Mosi, siku ya wajinga duniani. Tuwe makini 😂
Hata mie walitaka kunipata - Eti Raisi Samia akutana na 16 alioshindana nao uraisi! Ndio nikakumbuka kuwa hakuna hata mmoja alieshindana nae uraisi, nikambuka leo ni 1 April🤣🤣
 
Back
Top Bottom