breaking news.....just in

bosi..yale maadili yetu ya kazi wapii
 
daaaaah Bishanga!!!!!! we mkareee kwa udakuzi tuu! yani unafukunyua mpaka ya uvunguni!!!!
na hii harusi ilivokuw ana mashiko kam aya rose garden na naniliu!!! sosoliso mpenzi njoo ona mambo huku! hahahahahahahahahahahahaaaaaaaa

Babe hata mie nilisikia hizi habari.. Nimemtafuta Arushaone sijamuona.. Hakuna ambae anaejua yuko wapi.. Liliokotwa tu koti lake ambalo alikuwa amelivaa siku ya harusi yake.. Ila habari ambazo hazijathibitishwa alionekana na mzee wa kimakonde akivuka boda kuingia msumbiji.. Nadhani amepelekwa kwa mganga mashuhuri kule Msumbiji anaejulikana kama Mzee bulitundaga a.k.a makocho..
 
Last edited by a moderator:


mmhh babe nawe mpana...........umemjuaje huyu mzee makocho?!?! au ndo maana sichomoi kwako...............mh ngastuka!!!
 
mmhh babe nawe mpana...........umemjuaje huyu mzee makocho?!?! au ndo maana sichomoi kwako...............mh ngastuka!!!

Babe mie huwa ninacikiliza sana watu wanavyoongea.. So ndo nikasikia na stori hii ya mzee Bulitundaga a.k.a Makocho.. Mapenzi yetu babe ni mapenzi halali kabisa.. No limbwata wala gubete..
 
wewe una kijiba cha roho, na ndiye unayechangia kwa kiasi kikubwa humu mjengoni ndoa za cc kuvunjika, na ndiye bazazi mzoefu usiye na daawa hivyo tumekutambua kuwa wewe mchonganishi hivi hujui kuwa sweetlady na Lady doctor ni mtu na binamu yake? Baba V wala usivunje kwani hao wameshaungana hakuna mwanadamu atakayewatenganisha
 
Last edited by a moderator:

Hana jipya huyo... maandalizi ya kumsuta anayakamilisha Madame B naskia atalisgwa hadi kungu ili arembue atakapokuwa anasutwa ..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…