Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakuu nipo mitaa ya benjamini hapa kuna moshi mkubwa mpaka mida hii zimamoto hawajafiak///sijiu hii nchi ina matatizo gani
kwani kuna kambi ya jeshi jirani? April mosi!!!inasemekana ni bomu ...polisi ndio wamefika na zimamoto
Mungu wangu muda wanguuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!1st April