BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Wanafunzi wa Chuo kikuu kishiriki cha Mkwawa (MUCE) leo wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza uongozi ili walipwe hela zao za kujikimu ambazo zimecheleweshwa kwa zaidi ya wiki sasa. Shughuli za masomo zimesimama na wamezingira ofisi ya Mkuu wa chuo.
My take: Je kuna uhusiano wowote kati ya huu mgomo na kashfa zilizokuwa zikiwaandama viongozi waandamizi wa chuo? Ni hisia zangu tuu, huku kukiwa na tetesi kutoka vyanzo vyenye uhakika kuwa serikali inafanya reshuffling ya vingozi, na hivyo tutegemee viongozi waliopo kupigwa chini na wengine wapya kuletwa.
Karibuni kwa mjadala
My take: Je kuna uhusiano wowote kati ya huu mgomo na kashfa zilizokuwa zikiwaandama viongozi waandamizi wa chuo? Ni hisia zangu tuu, huku kukiwa na tetesi kutoka vyanzo vyenye uhakika kuwa serikali inafanya reshuffling ya vingozi, na hivyo tutegemee viongozi waliopo kupigwa chini na wengine wapya kuletwa.
Karibuni kwa mjadala