Sawa mkuu nitakwenda kucheki baadae kidogoHayawi hayawi sasa yamekua hatimaye wizara ya afya wamebandika majina ya waliochaguliwa katika makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo AKIBA kwa wale wa DSM
NB:Kwenye mtandao bado hawaja upload
Moh hawawezi kubandika post za waliochaguliwa kabla hawaja upload mtandaoni..makao makuu ya wizara ya afya hayako akiba bali yako shaaban robert street opposite na chuo cha i.f.m kuweni na uhakika na taarifa mzitoazo.
UTABISHIA HADI KIFOMoh hawawezi kubandika post za waliochaguliwa kabla hawaja upload mtandaoni..makao makuu ya wizara ya afya hayako akiba bali yako shaaban robert street opposite na chuo cha i.f.m kuweni na uhakika na taarifa mzitoazo.
ukienda wizarani matokeo unayapata
but ukitaka kwenye wbsite ndo wana upload
Kitu kipo mtandaoni sahvi
100% matokeo yapo mbaon lakin sio haki kwa waishio mbal[/QUOT ]
Mkuu mi nimekwenda wizarani pale hawajatandika majina yote
Hayawi hayawi sasa yamekua hatimaye wizara ya afya wamebandika majina ya waliochaguliwa katika makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo AKIBA kwa wale wa DSM
NB:Kwenye mtandao bado hawaja upload