Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,742
Nimeamshwa na ugomvi huu hapa dark city nikaukimbilia nione mama gani anapigwa eh nilicho kiona sikuamini nikasema hapana ngoja nitake one photo kwa ajili ya funz wangu.
![]()
Nimeamshwa na ugomvi huu hapa dark city nikaukimbilia nione mama gani anapigwa eh nilicho kiona sikuamini nikasema hapana ngoja nitake one photo kwa ajili ya funz wangu.
![]()
Nimeamshwa na ugomvi huu hapa dark city nikaukimbilia nione mama gani anapigwa eh nilicho kiona sikuamini nikasema hapana ngoja nitake one photo kwa ajili ya funz wangu.
Baada ya muda mrefu kupita tutakuja kubaini kuwa mfumo jike ni hatari zaidi ya mfumo dume tuliouzowea...hapo si ajabu
mme aligeuza shingo kuangalia mwanamke mwingine aliyekuwa akikatiza njia...ghafla!!!!!!!!!!!!!!!
![]()
Nimeamshwa na ugomvi huu hapa dark city nikaukimbilia nione mama gani anapigwa eh nilicho kiona sikuamini nikasema hapana ngoja nitake one photo kwa ajili ya funz wangu.
Mkuu Mbuzi Mzee Hiyo ndio kwako fundisho ukome kwenda kuwachezea wanawake wa ki Tanga unacheza wewe na Mwanamke wa kisambaa? amekupa kichapo heavy Pole ndugu yangu Usijaribu kuwachezea Wanawake wa kisambaa..........Maalim Mzizi, hii mwanke ilinifanya fhibaya sana, aisee nimekoma tena, kumbe yule demu wa Tanga ilikuwa Mtego mweee
Ulikuwa umelala mchana?
Mkuu Mbuzi Mzee Hiyo ndio kwako fundisho ukome kwenda kuwachezea wanawake wa ki Tanga unacheza wewe na Mwanamke wa kisambaa? amekupa kichapo heavy Pole ndugu yangu Usijaribu kuwachezea Wanawake wa kisambaa..........
Mkuu Mbuzi Mzee Nenda Mikoani ukita mademu wazuri,usiende mombasa Watakula huyo mbuzi mzee wako watakufanya kitoweo. Mimi ninafuatwa na Mademu wa kizungu huku nilipo mademu wa Kizungu ni wa kumwaga lakini si unajuwa mimi ni mlokole wa dini ya kiislam?Sipendi na wala Sifanyi mambo ya zinaa huwa Sipendelee kuzini, Zinaa inazeesha mwili kama inavyozeesha ulevi wa pombe huwa mimi sipendi mambo hayo ninamshukuru Mwenyeezi Mungu kwa kuniepusha .Kwakweli nimekoma na kukomaa. Sasa naenda Mombasha, Tanga sitaki tena, yule demu wa Kitanga aliniogesha na maji ya HILIKI MWEE. Mkuu nasikia na wewe unafhutwah na demu mweee
Mzizi Mkavu mm najua wewe ni Dr na ni Mwanamume sasa mbona huko nyuma anakuja Mwanamke Mzee kuja kuamulia ugomvi wa Mbuzi Mzee kwa kumtengua mguu wa kushoto si ndio atabakwa na hao kina mama?![]()
Nimeamshwa na ugomvi.
Wampeleke Zenji kwanza wakamtoe huo mzuzu kwa kipande cha chupa kama wale wengine.
Mkuu Mbuzi Mzee Nenda Mikoani ukita mademu wazuri,usiende mombasa Watakula huyo mbuzi mzee wako watakufanya kitoweo. Mimi ninafuatwa na Mademu wa kizungu huku nilipo mademu wa Kizungu ni wa kumwaga lakini si unajuwa mimi ni mlokole wa dini ya kiislam?Sipendi na wala Sifanyi mambo ya zinaa huwa Sipendelee kuzini, Zinaa inazeesha mwili kama inavyozeesha ulevi wa pombe huwa mimi sipendi mambo hayo ninamshukuru Mwenyeezi Mungu kwa kuniepusha .