BRAZIL: Rais Michel Temer amesema hotojiuzulu kwa kashfa ya rushwa

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Rais wa Brazil Michel Temer amesema kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na kashfa ya malipo ya fedha nyingi kama yaliyochukuliwa kama rushwa.

Katika mahojiano mafupi kwa njia ya Televisheni, Temer hana la kuogopa kutokana na uchunguzi juu yake ulioamriwa na mahakama kuu.

Amesema hajafanya jambo lolote baya na kwamba tuhuma hizo zitarudisha nyuma juhudi zake za kuimarisha uchumi uliodorora.

Chanzo: BBC
 
Huyu naye ana Asili ya kwetu
Una maana sisi waafrika tu ndo wala rushwa ❔ Nani kaleta mdororo wa kiuchumi duniani ❓ Je si wamarekani weupe ?
Huyu si ndo alimpigia debe Dilma atoke ❓❔ ama kweli hujafa hujaumbika.....Brazil inataka kutoroka kwenye makucha ya mabeberu, sasa wamo katika mvhakato wa kuirudisha makuchani
 
Una maana sisi waafrika tu ndo wala rushwa ❔ Nani kaleta mdororo wa kiuchumi duniani ❓ Je si wamarekani weupe ?
Huyu si ndo alimpigia debe Dilma atoke ❓❔ ama kweli hujafa hujaumbika.....Brazil inataka kutoroka kwenye makucha ya mabebe

ru, sasa wamo katika mvhakato wa kuirudisha makuchani
Maana yangu king'ang'anizi
 
Back
Top Bottom