Ndio zur. Kama Hao wanaume wamekimbilia kwa wake zao na watoto c unafagia wote.Jeshi linajisifia kupigana na watotowachanga na wagonjwa.
Si nyie makobazi mnadaigi hamyaki ushirika na makafiri....vp leo mnachekelea support Yao?Wewe mbona Muisrael mweusi wa Makete kuna tatizo gani wao kuwa Wakatoliki harafu ni Hamas😂
Wanaukumbi.
Brazil ilimfukuza tu balozi wao wa Israel, na kuwarudisha wa kwao kutoka Israel.
Hili ni tendo la kupongezwa linalopaswa kurudiwa na mataifa yote.
Israel na Netanyahu wapuuzi sana wanavyowapelekesha Ulaya na Marekani wanadhani wanaweza kufokea kila taifa Netanyahu na Mawaziri wake walimfokea na kumtolea kauli ya kalipio rais wa Brazil baada ya kuwaambia waache kuuwa watoto Gaza.
View: https://x.com/megatron_ron/status/1759637758547534123?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Shida mnajiita ufahamu, nakuapiaUmeamdika gazeti refu ulichoandika pumba tu Brazil hawaitaji kupangiwa cha kuongea hawataki kuwa wanafiki ndiyo maana wamefukuza balozi wa Israel kulinda heshimu ya nchi yao Israel ni nani anatakq kupangia kila nchi cha kuongea Waziri wa Israel mpuuzi mmoja anamwambia Rais wa Brazil aombe msamaha😂😂
Taifa lina watu milioni 216,422,446 liombe msamaha kwa wapuuzi wanapigana vita na watoto.
Baba yao Marekani hawezi kumuomba msamaha.
Shida yako unafikiri haya mambo ya Israel na Palastina yameanza leo, kipindi wayahudi wanaingia kwa wingi miaka ya 1948 - 70 , waarabu walipambana sana tena kwa kuungana ili kuwasaidia wapalestina, lakini walishindwa, myahudi amewekeza sana kwenye technology, financial market, mining, na kila nchi za Ulaya, wayahudi wamejiimarisha sana, hata huko American ya kusini wameyashika mataifa ya huko, sasa leo Israel with high technology in the world ndo wanyamanzishwe na Hamas? Huko nyuma yalishatokea matukio ya kutisha, black September, Savona attack, aircraft hijack, suicidal bombing, kufungwa kwa balozi na uhusiano wa nchi zote za middle East, walifunga kila aina ya ushirikiano, ikafikia hatua Israel akahama hata ukanda katika mambo ya michezo, zamani alikuwa anashirika mpira upande wa Asia, akatengwa akaamua kuhamia Ulaya na kuanza kushiriki michezo upande wa Ulaya mpaka leo.Umeamdika gazeti refu ulichoandika pumba tu Brazil hawaitaji kupangiwa cha kuongea hawataki kuwa wanafiki ndiyo maana wamefukuza balozi wa Israel kulinda heshimu ya nchi yao Israel ni nani anatakq kupangia kila nchi cha kuongea Waziri wa Israel mpuuzi mmoja anamwambia Rais wa Brazil aombe msamaha😂😂
Taifa lina watu milioni 216,422,446 liombe msamaha kwa wapuuzi wanapigana vita na watoto
Baba yao Marekani hawezi kumuomba msamaha.
Leo unafuraha kwa kuwa unapata kinywaji chako pendwa. Lete habari nyingine sheikh wangu. Waisrael nasikia wameisha wote kuleUharo mtupu😂
BREAKING| ICJ hearing for an advisory opinion on legal consequences of occupation of the West Bank, Gaza and East Jerusalem, starts with South Africa, who present their case against Israel.Leo unafuraha kwa kuwa unapata kinywaji chako pendwa. Lete habari nyingine sheikh wangu. Waisrael nasikia wameisha wote kule
Kwani kuna Waisrael wamebaki Gaza? Si walishakufa wote? Walijichimbia kaburi. Maana nasi sasa tunatapa tapa. Tunaokota okota vitaarifa vya kutufariji. Kinyonge..... Tuendeleeni kukomaa. Kupambana. Hakuna kulia lia.BREAKING| ICJ hearing for an advisory opinion on legal consequences of occupation of the West Bank, Gaza and East Jerusalem, starts with South Africa, who present their case against Israel.
Kwani kuna Waisrael wamebaki Gaza? Si walishakufa wote? Walijichimbia kaburi. Maana nasi sasa tunatapa tapa. Tunaokota okota vitaarifa vya kutufariji. Kinyonge..... Tuendeleeni kukomaa. Kupambana. Hakuna kulia lia.
Ulokole na ukatoliki ni vitu viwili tofauti, wakatoliki hawana binadamu wakuitwa taifa teule mitume na manabii, ndo maana huwezi Kuta wanaishobokea israel. Ukatoliki unajengwa na msingi ya kumtegemea Mungu na sio binadamu kama vile manabii na mitumeHuko Brazil ndio kwenye dini ya ukatoliki sasa wanavunja uhusiano na israeli sasa njoo kwa hawa wavimba macho wa hapa tandahimba wanaotetea taifa la mungu.
Shida mnajiita ufahamu, nakuapia
Shida yako unafikiri haya mambo ya Israel na Palastina yameanza leo, kipindi wayahudi wanaingia kwa wingi miaka ya 1948 - 70 , waarabu walipambana sana tena kwa kuungana ili kuwasaidia wapalestina, lakini walishindwa, myahudi amewekeza sana kwenye technology, financial market, mining, na kila nchi za Ulaya, wayahudi wamejiimarisha sana, hata huko American ya kusini wameyashika mataifa ya huko, sasa leo Israel with high technology in the world ndo wanyamanzishwe na Hamas? Huko nyuma yalishatokea matukio ya kutisha, black September, Savona attack, aircraft hijack, suicidal bombing, kufungwa kwa balozi na uhusiano wa nchi zote za middle East, walifunga kila aina ya ushirikiano, ikafikia hatua Israel akahama hata ukanda katika mambo ya michezo, zamani alikuwa anashirika mpira upande wa Asia, akatengwa akaamua kuhamia Ulaya na kuanza kushiriki michezo upande wa Ulaya mpaka leo.
Sasa leo Israel yenye nuclear hamasi na rocket zake wataweza kuwafukuza middle East? Wapalestina wawe wapole waombe UN isimamie tu kuundwa jamuhuri ya Muungano wa Israel na Palestina na waache misimamo yao mikali ya kidini.
Shida mnajiita ufahamu, nakuapia
Shida yako unafikiri haya mambo ya Israel na Palastina yameanza leo, kipindi wayahudi wanaingia kwa wingi miaka ya 1948 - 70 , waarabu walipambana sana tena kwa kuungana ili kuwasaidia wapalestina, lakini walishindwa, myahudi amewekeza sana kwenye technology, financial market, mining, na kila nchi za Ulaya, wayahudi wamejiimarisha sana, hata huko American ya kusini wameyashika mataifa ya huko, sasa leo Israel with high technology in the world ndo wanyamanzishwe na Hamas? Huko nyuma yalishatokea matukio ya kutisha, black September, Savona attack, aircraft hijack, suicidal bombing, kufungwa kwa balozi na uhusiano wa nchi zote za middle East, walifunga kila aina ya ushirikiano, ikafikia hatua Israel akahama hata ukanda katika mambo ya michezo, zamani alikuwa anashirika mpira upande wa Asia, akatengwa akaamua kuhamia Ulaya na kuanza kushiriki michezo upande wa Ulaya mpaka leo.
Sasa leo Israel yenye nuclear hamasi na rocket zake wataweza kuwafukuza middle East? Wapalestina wawe wapole waombe UN isimamie tu kuundwa jamuhuri ya Muungano wa Israel na Palestina na waache misimamo yao mikali ya kidini.
We jamaa unaandika gazeti halafu uharo mtupu.Shida mnajiita ufahamu, nakuapia
Shida yako unafikiri haya mambo ya Israel na Palastina yameanza leo, kipindi wayahudi wanaingia kwa wingi miaka ya 1948 - 70 , waarabu walipambana sana tena kwa kuungana ili kuwasaidia wapalestina, lakini walishindwa, myahudi amewekeza sana kwenye technology, financial market, mining, na kila nchi za Ulaya, wayahudi wamejiimarisha sana, hata huko American ya kusini wameyashika mataifa ya huko, sasa leo Israel with high technology in the world ndo wanyamanzishwe na Hamas? Huko nyuma yalishatokea matukio ya kutisha, black September, Savona attack, aircraft hijack, suicidal bombing, kufungwa kwa balozi na uhusiano wa nchi zote za middle East, walifunga kila aina ya ushirikiano, ikafikia hatua Israel akahama hata ukanda katika mambo ya michezo, zamani alikuwa anashirika mpira upande wa Asia, akatengwa akaamua kuhamia Ulaya na kuanza kushiriki michezo upande wa Ulaya mpaka leo.
Sasa leo Israel yenye nuclear hamasi na rocket zake wataweza kuwafukuza middle East? Wapalestina wawe wapole waombe UN isimamie tu kuundwa jamuhuri ya Muungano wa Israel na Palestina na waache misimamo yao mikali ya kidini.
Huyo balozi kashapigwa ban inamaana hatoruhusiwa kurudi Brazil.Brazil hawakumfukuza balozi wa Israel. NI uongo.Israel walimuita balozi wao baada ya kuchukizwa na maneno ya Lula da Silva.
Lugha inakusumbua namna hiyo?Mtu ambaye aliondoka kwa mipango ya nchi yake baadaye utadaije umemfukuza?Ungeeleza kwamba amekatazwa/kuzuiwa asiingie tena Brazil ungonesha uelewa.Huyo balozi kashapigwa ban inamaana hatoruhusiwa kurudi Brazil.
Hiyo ni sawa sawa na kufukuzwa maana umepigwa katazo kurudi ulipotoka.
Lugha inanisumbua mimi au wewe??Lugha inakusumbua namna hiyo?Mtu ambaye aliondoka kwa mipango ya nchi yake baadaye utadaije umemfukuza?Ungeeleza kwamba amekatazwa/kuzuiwa asiingie tena Brazil ungonesha uelewa.