kama ni kweli hii safi saana.Wanafunzi wanachokosea wanaomba extra booklets kwenye mtihani wa mwanzo halafu wanakwenda kuzitumia nyumbani ku-solve mtihani unaofuata, halafu wanaingia na booklets zao tayari zimeshajazwa, wakipewa nyingine wanazuga nayo halafu wanabadilisha, wanaweka yenye majibu wanaficha ile waliopewa.
Tatizo zile booklets zina index number, kwa hiyo BMT wanajua booklet hii haikutolewa siku ya mtihani husika, hivyo wanakupa F yako halafu wanatulia.
kafiri hata ukijidai kuvaa kanzu na kashda tunakutambua tu!
Siku zote wakuu wa BMT ambao
wapo madarakani huwa hawakubali kirahisi kuwa mtihani ume leak, kwa
sababu ni kashfa kwao na wanaweza kutakiwa kujiuzuru, hivyo wanatafuta
mbinu nyingine za kurekebisha kimyakimya.
Tunataka mkurugenzi wa NECTA awe Muisilamu, ili watoto wetu waisilamu nao watese kwenye mitahani forms 2 na 4
ni kweli mkuu.Kwa mtazamo huo huna haja ya kumpongeza yeye bali uipongeze serikali kwa kupuuza madai ya walimu ambao ndiyo wanahusika na usimamiaji na kuhakikisha silabasi zinaisha kwa wakati unaofaa. Pia wao ndiyo walikuwa wafanikishaji wakubwa wa uvujaji wa mitihani. Kwa mwaka huu hawakuhangaika kabisa kuwasaidia wanafunzi na wala hakuwa katika ushindani wa kufaulisha bali walikuwa na ushindani wa kufelisha.
Salaam wana jamii,
Nachukua nafasi hii kumpongeza katibu wa BMT kwa utendaji wake katika kuongoza taasisi hii nyeti kwa jinsi alivyoweza kuandaa mikakati ya kuthibiti undanganyifu uliozoeleka katika mitihani ya taifa kuanzia mitihani ya kidato cha pili hadi ya kidato cha sita.Wote ni mashahidi wa hali mbaya ya udanganyifu wa mitihani ulivyokuwa umekithiri kiasi cha kuziona paper za mithiani zikizagaa mtaani.
Sasa huyu mama ameidhibiti hali hiyo,jamani tumuunge mkono na wala kamwe tisimkatishe tamaa. Matokeo haya ya mitihani ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne yanaakisi hali halisi ya udhibiti wa mitihani inayofanywa na bosi huyu mwanamama na timu yake.
Tisimlaumu kwa kushindwa kwa wanafunzi kwani yeye siye msimmamizi wa sera za elimu nchini yeye kazzi yake ni kuandaa upimaji.
Huu ndio mtizamo wangu
Salaam wana jamii,
Nachukua nafasi hii kumpongeza katibu wa BMT kwa utendaji wake katika kuongoza taasisi hii nyeti kwa jinsi alivyoweza kuandaa mikakati ya kuthibiti undanganyifu uliozoeleka katika mitihani ya taifa kuanzia mitihani ya kidato cha pili hadi ya kidato cha sita.Wote ni mashahidi wa hali mbaya ya udanganyifu wa mitihani ulivyokuwa umekithiri kiasi cha kuziona paper za mithiani zikizagaa mtaani.
Sasa huyu mama ameidhibiti hali hiyo,jamani tumuunge mkono na wala kamwe tisimkatishe tamaa. Matokeo haya ya mitihani ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne yanaakisi hali halisi ya udhibiti wa mitihani inayofanywa na bosi huyu mwanamama na timu yake.
Tisimlaumu kwa kushindwa kwa wanafunzi kwani yeye siye msimmamizi wa sera za elimu nchini yeye kazzi yake ni kuandaa upimaji.
Huu ndio mtizamo wangu
Salaam wana jamii,
Nachukua nafasi hii kumpongeza katibu wa BMT kwa utendaji wake katika kuongoza taasisi hii nyeti kwa jinsi alivyoweza kuandaa mikakati ya kuthibiti undanganyifu uliozoeleka katika mitihani ya taifa kuanzia mitihani ya kidato cha pili hadi ya kidato cha sita.Wote ni mashahidi wa hali mbaya ya udanganyifu wa mitihani ulivyokuwa umekithiri kiasi cha kuziona paper za mithiani zikizagaa mtaani.
Sasa huyu mama ameidhibiti hali hiyo,jamani tumuunge mkono na wala kamwe tisimkatishe tamaa. Matokeo haya ya mitihani ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne yanaakisi hali halisi ya udhibiti wa mitihani inayofanywa na bosi huyu mwanamama na timu yake.
Tisimlaumu kwa kushindwa kwa wanafunzi kwani yeye siye msimmamizi wa sera za elimu nchini yeye kazzi yake ni kuandaa upimaji.
Huu ndio mtizamo wangu
Ulevi wa pombe unapokuwa afadhali kuliko wa imani hasiKweli huyo mama kafanya vzur, maana katekeleza azma ya baraza la maaskofu. Una haki ya kumpa hongera
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
miaka mitihani ilipovuja ilionekana mitaani mitaani. hii ilivujia wapi?
Lakini watoto wetu siku hizi ni vilaza sana, naomba watu muutafute mitihani yenyewe muione.. Walimu hawafundishi watoto kabisa pia nadhani mpangilio wa elimu yetu sasahivi sio mzuri. Naomba wanjanvi tafuteni hiyo mitihani mtapigwa na butwaa kwanini watoto wanafeli!!! Namuunga mkono James Mbatia. na huyu mama Joyce ndalichako sioni kosa lake sijui watu walitaka atoe matokeo ya uongo?
Sikweli hata kidogo ... MTIHANI WALIOFELI .... ULIBIWA KAMA KAWAIDA ... !
Salaam wana jamii,
Nachukua nafasi hii kumpongeza katibu wa BMT kwa utendaji wake katika kuongoza taasisi hii nyeti kwa jinsi alivyoweza kuandaa mikakati ya kuthibiti undanganyifu uliozoeleka katika mitihani ya taifa kuanzia mitihani ya kidato cha pili hadi ya kidato cha sita.Wote ni mashahidi wa hali mbaya ya udanganyifu wa mitihani ulivyokuwa umekithiri kiasi cha kuziona paper za mithiani zikizagaa mtaani.
Sasa huyu mama ameidhibiti hali hiyo,jamani tumuunge mkono na wala kamwe tisimkatishe tamaa. Matokeo haya ya mitihani ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne yanaakisi hali halisi ya udhibiti wa mitihani inayofanywa na bosi huyu mwanamama na timu yake.
Tisimlaumu kwa kushindwa kwa wanafunzi kwani yeye siye msimmamizi wa sera za elimu nchini yeye kazzi yake ni kuandaa upimaji.
Huu ndio mtizamo wangu