Bravo JK: Jin Ping and Obama in Dar , all done in one stride!!

Bravo JK: Jin Ping and Obama in Dar , all done in one stride!!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,120
Kwa kweli kuwaleta hapa Dar hawa waheshimiwa , tena katika muda huu si jambo dogo.
Kuna wanaosema sana kuwa "tuna chumbiwa" kwa sababu ya madini yetu.
Kuna wanao beza hizi juhudi kuwa ni showman ship.
Wengine wanaenda mbali zaidi kudai kuwa nchi imeshauzwa.
Nawaasa watanzania wenzagu kuangalia kwa makini fursa zinazojitokeza.
Tazam kwa makini sana miradi inayokuja, ili mtu ufaidike binafsi kuliko kungojea salio la kodi toka serikalini, tena kwa njia ndefu sana ya kupitia mpaka bungeni.
Lets be smart.

Miradi itaanza karibuni sehemu karibu nyingi zitakazokuwa katika sehemu zilizo ainishwa misaada/miradi inayoletwa na wakubwa hawa.

Kwa wale wa kulalamika hakuna cha kuwasaidia, wajiulize kwa nini Obama, Jin Ping hakwenda Congo kwenye madini zaid au Nigeria kwenye biashara zaidi barani Afrika.

Na hapo ndo nampa heko JK kwa kucgeza karata na kulamba dume, kwa kuwaleta madingi hawa.
 
Sio Jin Ping wala Obama watakaokusaidia kuondoa hizi aibu....
50 darasa.jpg
Hospital Moro.jpg
View attachment 100529

African problems needs African solutions....

Jipangeni upya maana JK jana alitia aibu kwa kuomba msaada hadharani badala ya kutukia rasilimali lukuki tulizonazo
 
Hivi kweli Tanzania Tumeshindwa Kabisa Katika Suala la Umeme hadi Obama aje kutoka Marekani kuja Kusambza Umeme hadi Vijijini??????
Hivi umeshawahi kwenda Tanesco Kuomba Kuunganishwa kwenye Network ya Umeme wa Tanesco ukaona jinsi unavyopigwa Dana Dana na Kuombwa utoe Rushwa ya Nguzo??????
Haya yote Serikali imeshindwa kuya Handle Mpaka kuwangoja China na Marekani ndo waje Kututatulia Haya.
Nashuku Kichwa cha Mleta Mada kimejawa na Ushabiki wa Kimbeya pamoja na Matope
 
Sio Jin Ping wala Obama watakaokusaidia kuondoa hizi aibu....
View attachment 100527
View attachment 100528
View attachment 100529

African problems needs African solutions....

Jipangeni upya maana JK jana alitia aibu kwa kuomba msaada hadharani badala ya kutukia rasilimali lukuki tulizonazo
Mkuu pamoja na ukweli kuwa umasikini ni relative , huko uliko zungukia na sehemu hizi ujionee masikini wa huko US.
Nako wapo, tena wengi tu.
AMON_SAQUACHE_017.sJPG_950_2000_0_75_0_50_50.sJPG


Two of Rodney Cook's grandchildren watch television at the end of the day inside one of the trailers. #
 
Mkuu pamoja na ukweli kuwa umasikini ni relative , huko uliko zungukia na sehemu hizi ujionee masikini wa huko US.
Nako wapo, tena wengi tu.
AMON_SAQUACHE_017.sJPG_950_2000_0_75_0_50_50.sJPG


Two of Rodney Cook's grandchildren watch television at the end of the day inside one of the trailers. #
Mkuu hao wanaangalia TV ina maana wameishashiba hao,,, pia naona hapo taa inawaka. Hao watoto wa huku umewaona jinsi utapiamlo ulivyowatafuna?? Unajua nyie watu wa Darisalama mna_overlook sana hii nchi. Sisi huku vijijini ndio tunaoucheza muziki wa maisha magumu na shida za kidunia, mlo mmoja kwa siku. Sio Bush au Jin Ping anayeweza kumfanya jirani yangu Mr Mgonapawene akapata milo miwili, bali kubadili sera zenu za ufisadi kuwa sera za haki sawa na kugawana keki ya taifa. Haiingii akilini wakati Riziwani ni Trilionea baba yake anaomba msaada wa NETI kwa Obama, kwa nini asiombe kwa mwanaye tu...
 
Hivi kweli Tanzania Tumeshindwa Kabisa Katika Suala la Umeme hadi Obama aje kutoka Marekani kuja Kusambza Umeme hadi Vijijini??????
Hivi umeshawahi kwenda Tanesco Kuomba Kuunganishwa kwenye Network ya Umeme wa Tanesco ukaona jinsi unavyopigwa Dana Dana na Kuombwa utoe Rushwa ya Nguzo??????
Haya yote Serikali imeshindwa kuya Handle Mpaka kuwangoja China na Marekani ndo waje Kututatulia Haya.
Nashuku Kichwa cha Mleta Mada kimejawa na Ushabiki wa Kimbeya pamoja na Matope
Mkuu naona unajiexpose kwa mambo ambayo huya jui kabisa.
Waleta siasa kwenye mambo ambayo kwako ni sawa na mbingu.

Swala la umeme ni watu wa uelewa wa chekechea kama ulivyo ndio wanaolielezea so simply.
Najua kwako ni lazima darasa ni mgogoro.

Sasa hebu tukupe elimu ya awali katika suala uliloliongelea la umeme.
Umeme kabla ya kumfikia mlaji(consumer) una sehemu kuu tatu.
Sehemu ya kwanza ni production-kinu cha kufua umeme iwe ni maji, jenereta au hata wa jua
Sehemu ya pili ni usafirishaji umeme huo, kwa msongo mkubwa(High tension)
Sehemu ya tatu ndio distribution unayoiona wewe Bramo mlalahoi na wenzagu wengi tu.Na hapa ndio tuna umeme mdogo wa majumbani(Low tension)

Sehemu ambayo Bramo anailalamikia huko Tanesco hi hiyo ya tatu, bila kujua hizo sehemu kuu mbili zinaendeleaje.

Hao wawekezaji wa China na Marekani wanakuja kutatua tatizo la kuongeza uzalishaji kwenye vinu mbadala, na hapo ndo watanzania kama Bramo ni lazima walielewe hilo.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mleta mada umeileta kiushabiki sana mada yako iliyokosa uchambuzi yakinifu..Unauliza kwann hakwenda Congo au Nigeria wakati unafahamu ukosefu wa amani na uimara wa serikali ktk nchi hzo mbili..Unahtaji akainvest huko wakati wanajua watapata hasara ilhali kuna Tanzania ambayo ina amani na maliasili za kutosha..Unamsifia JK huku ukiwa umesahau aibu anayotuletea huyu kiumbe kwa kuendelea kuomba misaada ,yaani hata vitabu anataka wamerikani waendelee kutusaidia? Hashituki, haoni aibu na wala hajali kwa upuuzi anaozungumzia na kuusimamia..Leo wanafunzi wengi wanakaa chini wakati tuna mapori yenye miti mingi kwa kutengenezea madawati lakini hawajali hlo,wanataka America iendelee kusaidia na huko..Wafungwa wengi wana ujuzi,kwanini wasitumike kwenye kazi zenye tija, ..TUNASUBIRI OBAMA AJE KUWASHA MWANGA WA MAENDELEO AFRICA, HUU NI UJINGA KUAMINI KATIKA UPOTOFU NA BADALA YA KUPAMBANA WENYEWE KUELEKEA KWENYE MAENDELEO ENDELEVU..
 
Mkuu hao wanaangalia TV ina maana wameishashiba hao,,, pia naona hapo taa inawaka. Hao watoto wa huku umewaona jinsi utapiamlo ulivyowatafuna?? Unajua nyie watu wa Darisalama mna_overlook sana hii nchi. Sisi huku vijijini ndio tunaoucheza muziki wa maisha magumu na shida za kidunia, mlo mmoja kwa siku. Sio Bush au Jin Ping anayeweza kumfanya jirani yangu Mr Mgonapawene akapata milo miwili, bali kubadili sera zenu za ufisadi kuwa sera za haki sawa na kugawana keki ya taifa. Haiingii akilini wakati Riziwani ni Trilionea baba yake anaomba msaada wa NETI kwa Obama, kwa nini asiombe kwa mwanaye tu...
Mkuu kama una umeme nyumbani kwako, unajua hata kutumia kompyuta, na una kaelimu ka kukusaidia basi kama u masikini unatatizo.

Inaelekea watu uvivu unawalemea, wanataka kutajirishwa wakiwa vitandani wakisoma novels.
 
Kwa kweli kuwaleta hapa Dar hawa waheshimiwa , tena katika muda huu si jambo dogo.
Kuna wanaosema sana kuwa "tuna chumbiwa" kwa sababu ya madini yetu.
Kuna wanao beza hizi juhudi kuwa ni showman ship.
Wengine wanaenda mbali zaidi kudai kuwa nchi imeshauzwa.
Nawaasa watanzania wenzagu kuangalia kwa makini fursa zinazojitokeza.
Tazam kwa makini sana miradi inayokuja, ili mtu ufaidike binafsi kuliko kungojea salio la kodi toka serikalini, tena kwa njia ndefu sana ya kupitia mpaka bungeni.
Lets be smart.

Miradi itaanza karibuni sehemu karibu nyingi zitakazokuwa katika sehemu zilizo ainishwa misaada/miradi inayoletwa na wakubwa hawa.

Kwa wale wa kulalamika hakuna cha kuwasaidia, wajiulize kwa nini Obama, Jin Ping hakwenda Congo kwenye madini zaid au Nigeria kwenye biashara zaidi barani Afrika.

Na hapo ndo nampa heko JK kwa kucgeza karata na kulamba dume, kwa kuwaleta madingi hawa.

Kikolo, kuna kitu kama watanzania tunashindwa kuelewa, sometimes back hao economic giants walikuwa wanaenda saan tiger countries, kisa ni opportunities, cha kuzingatia hapa we should make sure we stick on a win - win situation, otherwise tutakuwa looses1 Afu nkamu, DRC Hawana madini kama Tanzania, hujajua vitu vingi saana ndugu, ask the germans watakujuvya, Sisi ni nchi inayoongoza kwa madini Africa! Everything is here pal, hujajua tuu!
 
Kwa kweli kuwaleta hapa Dar hawa waheshimiwa , tena katika muda huu si jambo dogo.
Kuna wanaosema sana kuwa "tuna chumbiwa" kwa sababu ya madini yetu.
Kuna wanao beza hizi juhudi kuwa ni showman ship.
Wengine wanaenda mbali zaidi kudai kuwa nchi imeshauzwa.
Nawaasa watanzania wenzagu kuangalia kwa makini fursa zinazojitokeza.
Tazam kwa makini sana miradi inayokuja, ili mtu ufaidike binafsi kuliko kungojea salio la kodi toka serikalini, tena kwa njia ndefu sana ya kupitia mpaka bungeni.
Lets be smart.

Miradi itaanza karibuni sehemu karibu nyingi zitakazokuwa katika sehemu zilizo ainishwa misaada/miradi inayoletwa na wakubwa hawa.

Kwa wale wa kulalamika hakuna cha kuwasaidia, wajiulize kwa nini Obama, Jin Ping hakwenda Congo kwenye madini zaid au Nigeria kwenye biashara zaidi barani Afrika.

Na hapo ndo nampa heko JK kwa kucgeza karata na kulamba dume, kwa kuwaleta madingi hawa.

this is a typical changudoa mentality.

eti pata mabuzi wengi - wa kulipia apartment ni mmojawapo, wa kununua gari ni mwingine, kulipia mafuta mwingine, kununua simu mwingine, wa kugharimia bill ya simu ni mwingine, etc.
come few years later utapoanza kuhara na kutapika, kutokwa na manundu mwilini, kukohoakohoa - wote hawa tayari wameingia mitini siku nyingi!

....and yet (and sadly) certain Tanzanians shamelessly come bragging about it.

ni aibu! fedheha! it's shameful!
 
Mkuu kama una umeme nyumbani kwako, unajua hata kutumia kompyuta, na una kaelimu ka kukusaidia basi kama u masikini unatatizo.

Inaelekea watu uvivu unawalemea, wanataka kutajirishwa wakiwa vitandani wakisoma novels.

Naona mkuu dhana nzima ya maendeleo hauijui. Serikali yako imeshindwa kuweka infrastructure za maendeleo, huku vijijini kupeleka mazao sokoni mjini Ni ndoto tunangojea walanguzi waje kutunyonya. Elimu mnayotupa ndio hiyo ya shule za kata, mtambo WA ziro. Unategemea zero utanipa mbinu za kupata Milo mitatu? Unategemea vitabu alivyoomba JK kwa Obama Jana, tena bila aibu, huku akidanganya takwimu ndio viondoe umaskini WA mtanzania wa kujijini? JK aache uvivu akusanye kodi, mfano mdogo Tu ukienda pale Mlimani City duka la Game unapewa risiti za EFD then pembeni yake kwa rafiki ya JK Home Shopping Center hata risiti hawatoi, ukidai wanakupa za vitabuni kukwepa kodi, badala ya kuwabana hawa mpate hela za vitabu mnaomba kwa Obama, aibu at its best
 
Mleta mada utakuwa umepigia mstari 'UKITAKA KULA LAZIMA ULIWE'
 
Kikwete hana tofauti na promota wa muziki au ndondi. Tofauti ndogo ni kuwa wale ni socio economic promoters na huyu ni political economic promoter. Alichofanya ni kuikuwadi nchi kwa wenye mali wakati hapakuwa na ulazima huu
 
Mkuu pamoja na ukweli kuwa umasikini ni relative , huko uliko zungukia na sehemu hizi ujionee masikini wa huko US.
Nako wapo, tena wengi tu.
AMON_SAQUACHE_017.sJPG_950_2000_0_75_0_50_50.sJPG


Two of Rodney Cook's grandchildren watch television at the end of the day inside one of the trailers. #


masikini gani hawa wamekalia sofa? Full kiyoyozi umeme wa kutosha
 
this is a typical changudoa mentality.

eti pata mabuzi wengi - wa kulipia apartment ni mmojawapo, wa kununua gari ni mwingine, kulipia mafuta mwingine, kununua simu mwingine, wa kugharimia bill ya simu ni mwingine, etc.
come few years later utapoanza kuhara na kutapika, kutokwa na manundu mwilini, kukohoakohoa - wote hawa tayari wameingia mitini siku nyingi!

....and yet (and sadly) certain Tanzanians shamelessly come bragging about it.

ni aibu! fedheha! it's shameful!
Mtu aliyekulia katika mazingira ya kikahaba kahaba utamjua tu na mifano ya kikahaba kahaba.

Mbaya zaidi they can never think positively, kama huyu jamaa.

Kuondokana kwenye yoke hili la kujibamiza mwenyewe ni ngumu sana maana ukahaba uko firmly entrenched katika psyche na mentality yake.

Kujiondoa huko ni shughuli ya generations to come, while languishing in abjact poverty.

Mkuu kazi unayo, hata hivyo your destiny is of your own choosing.
 
kila siku tunalalamika rais anaangushwa na watendaji lakin jana imejidhihirisha kuwa kikwete ndo anawaangusha. utaombaje misaada ya vitabu wakati hata manji anaweza kutoa? ujinga.
anatoa bilion 10 za kuzuia ujangili wakati jangili mkuu anapishana nae kwenye korido za ikulu? au ndo money laundering obama anaifanya kwa mgongo wa msaada. ile ndo mshahara wa kikwete wa kuwapa rasilimali za bure.
 
Back
Top Bottom