Ukimsifia hivi ndiyo unamiharibia kaziNimepita mitaani kila kona naona wananchi wengi wameitikia wito wa marufuku mifuko ya plastiki
Hivi kwann wale wengine wananzishaga mambo lkn hawafanikiwagiJamaa lazima tumpe tano kweli katika siku ya kwanza tu naona watu wametii bila shuruti
Kwa hiyo unataka sifa ziende kwa Magufuli au.?Hii ilianzishwa kipindi cha JK lakini sijui kwa nini haikufanikiwa, sijui ni kutokana na aina ya uongozi uliokuwepo madarakani labda.
Of course yes!Kwa hiyo unataka sifa ziende kwa Magufuli au.?
Swala la usafi nalo la kusimamiwa mzee baba!!?Kuna watu walianzisha Kampeni za usafi kila jumamosi walishindwa ,walifanikiwa eneo moja tu la kutofungua biashara hadi saa 4 asubuhi! Bravo Januari.Leo nimepita katikati ya eneo la biashara katika Jiji la Dodoma- 😉😉 ni kwamba hakuna mifuko ya plastiki kabisa!