mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,071
- 132,535
Kwa sababu ameshirikisha taasisi zoteHivi watu wametii kwa sababu ya Makamba au watu wameogopa faini ya 30/ kifungo cha siku 7?
Syo mwingine anajiamulia yeye kma yeye
Ova
Kwa sababu ameshirikisha taasisi zoteHivi watu wametii kwa sababu ya Makamba au watu wameogopa faini ya 30/ kifungo cha siku 7?
Hivi watu wametii kwa sababu ya Makamba au watu wameogopa faini ya 30/ kifungo cha siku 7?
KabisaMakamba is a smart leader..cool in action with positive action..
Anahekima sn kwenye kila jambo
Hili lazimamtulioiganie wote tusiliombee mabaya waliweza wazenji... why sisi tushindwe tutafunga hata lwemye magome ya migombaNatabiri maximum ya miezi sita or less kabla ya serikari kufanya u-turn kwenye hii decision
TUKIMALIZA LA MIFUKO TUNAKUJA KWEMYE MKAAMakamba anajua kupangilia mambo
Ova
Huoni hata aibu kuandika ivi.Hao ndio viongozi wanaomiliki akili kichwani
Kamuulize Makamba kama sio yeye basi wasaidizi wake wazo la ku-delay ban kutokana na kwamba hakuna substitute products, awajaimiza uzalishaji wa mbadala etc na utaratibu waliofuata kimaandalizi kuelekea ban inayoonza leo waliliokotea wapi wacha nikusaidie humu humu JF kupitia Eric Cartman ata wakikataa.Hili lazimamtulioiganie wote tusiliombee mabaya waliweza wazenji... why sisi tushindwe tutafunga hata lwemye magome ya migomba
Anajifanya hajui kupaka rangiKuna jamaa Moja yeye akajibu. Nanukuu...."Waziri hata salamu duu"
😀😀😀upewe like😂😂😂 halafu like inakusaidia nini au unanunulia vocha?
Umetumika ushawishi na elimu zaidi kuliko ubabe, hapa serikali nzima ipate somo kuwa kwenye maamuzi makubwa ya Kitaifa elimu inahitajika zaidi kuliko ubabe na vitisho...
Mkuu ili la mifuko kwani lilikuwa na ugumu gani kulitekeleza?. Ni utashi tu wa viongozi mbona sheria ya kuizuia ipo muda mrefu, utekelezaji ulikuwa unasusua kwa sababu ambazo viongozi wenyewe wanazijua. Nchi ndogo kama Rwanda walizuia mifuko hiyo siku nyingi. Si kweli kwamba hili suala lilikuwa na ugumu wowote kulitekeleza.Nimepita mitaani kila kona naona wananchi wengi wameitikia wito wa marufuku mifuko ya plastiki
Watanzania tumestaarabika...Nimepita mitaani kila kona naona wananchi wengi wameitikia wito wa marufuku mifuko ya plastiki
watu wametii kwa sababu kampeni ina manufaa kwa taiga na jamii,halaf imeendeshwa kistaarabu,watu hawajaogopa siku 7 jela,kama miaka 30 kwaajili ya mimba kwa wanafunzi hawaigopi wataogpa siku saba za mifuko ya plastic??? makamba kaendesha kampeni na imefanikiwa kabisaaaaaHivi watu wametii kwa sababu ya Makamba au watu wameogopa faini ya 30/ kifungo cha siku 7?
its like childish bro, mtu ana like content inayosense kwake sio kuelekezwa!😀😀😀
Nitaongezea kununulia MB
Kwani wewe ukinipa inakupunguzia nini mkuu?
Wasije wakamuonea donge, wakairuhusu maaana Africa ina vituko sana.