Nataka kununua kwa ajili ya kuuzaMkuu kote wachina wamepiga kirusi, tembea kwa tahadhali.jipange tu kuihakiki kabla hujainunua.
Halafu bei iwe mtihani wa kwanza kabla ya kuingia jaribio linalofuata.usinunue flash kwa wale jamaa wa nyungo,au wanaotembeza na maspika wanapiga nyimbo,au wanaotembeza mkononi.
Kwa sasa bei inacheza 2gb 10k mpaka gb32 32k.
Zipo imation,oraimo,sony nk
Basi kikubwa nenda kwa muuzaji anayeeleweka, bei zinapishana kulingana na kampuni.Sawa mkuu
Nina Sandisk UHS iko poa sana...sema nilinunua online huko china sio sandisk za kariakoo lakin
SanDisk ziko poa, kama unamkwanja mzuri nenda kanunue za hp, anzia gb16.Wakuu ni brand gani za flash na memory card zinapendwa zaidi?
Ni kweli hapo kwenye bei siku hizi flash zina bei ndogo, nakumbuka nilinunua flash ya hp silver 16gb kwa tsh45000 mwaka 2017 mpaka sasa kuna jamaa anaitumia.Memory card saivi ni cheapest sana gb32 bei ya jumla 11elf, na flash zinakaribiana tu bei original, ila feki (za kawaida) ata iwe gb64 huwa haivuki elf4.
Brand name zinazopendwa sijui maana ukitaka ata kwa jina lako unapritiwa kama mkulima