Boyfriend wangu anasupport cheating

Boyfriend wangu anasupport cheating

kuna member hapa jf aliwahi kuletewa muuza k chumbani kwao. ndoa yake ilisurvive so hayo ni mapito tuu

kha!!! husband alikuwa ana gegeda papuchi ya malaya...kweli huyo wakajanga!
 
Wenzio wakinyolewa zako tia maji! Sasa mi naamua kutia mafuta kabisaaa ili mkasi uteleze nisinyolewe!!!!!!!! I know im not special na upuuz kama huu kwa mie Kubwa la Maadui sikawii kumuwekea mtu dawa ya uhanisi kwenye juisi! Dhambi za nini? Bado nipo nipo sanaaaaaaaaaaaa!

lara 1 ,we umejitambua.. Yaani umeyaangalia maisha kama yalivyo.Hufikirii nifanye kama yule au wale..
Nimeipenda stance yako.
 
Last edited by a moderator:
Na kama huyo mke wake ameenda ku2lizwa na jamaa lingine huko anakosema ameenda kikazi!? Hakuna aliyemkamilifu, sema huyo jamaa kakosea kumleta kimada mpaka ndani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom