Boyfriend wangu anasupport cheating

Boyfriend wangu anasupport cheating

waleoleo

Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
53
Reaction score
17
Wanajamii natumaini mpo poa, kunakitu kimentatiza npo na bf tunakaribia kuanza taratibu za uchumba, yeye ana kaka yake ambae ameoa ila kwa sasa kaka yake huyo hayupo sawa na mkewe wametofautiana, ifu imetokea mkewe kapata safar ya nje kikazi. sasa kaka mtu amemsoudisha kimada wake aje kulala hapo home kwake et na huyu mchumba mtarajiwa anasupport tu aende akalale sababu mke wa kaka haelewani na mumewe!!!!!!! sasa na mim nawaza Binadamu kukosana kupo so atakua ananifanyia hivihivi?? pole kwetu wanawake kwa kweli
 
Birds of the same feather....jitaarishe bibie
 
Huyo jamaa kazidisha kuleta mwanamke kwenye kitanda unacholala na mkeo ni kosa kubwa sana
 
MNASEMA............ BADO NIPO NIPO SANAAAA!!!!!! Wanamega majimama, wanamega vimada, wanamega hadi beki tatu! Mtu ameoa ila anakitombesha kama kawa! Na Bado mnanishauri harusi!!!!!!!!!? Kumegewa hilo moja je kutupiwa virago ushafikiria????????

BADO NIPO NIPO SANAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!
 
Wanajamii natumaini mpo poa, kunakitu kimentatiza npo na bf tunakaribia kuanza taratibu za uchumba, yeye ana kaka yake ambae ameoa ila kwa sasa kaka yake huyo hayupo sawa na mkewe wametofautiana, ifu imetokea mkewe kapata safar ya nje kikazi. sasa kaka mtu amemsoudisha kimada wake aje kulala hapo home kwake et na huyu mchumba mtarajiwa anasupport tu aende akalale sababu mke wa kaka haelewani na mumewe!!!!!!! sasa na mim nawaza Binadamu kukosana kupo so atakua ananifanyia hivihivi?? pole kwetu wanawake kwa kweli

Hao ndiyo wanaume mdogo wangu,

Ukiona mwanamume ambaye hamtetei mwenzake basi ujue huyo na katatizo kadogo...Ni kama mwanamke ambaye hamgombelezei mwanamke mwenzake....

Ila angemshauri kaka yake kama anataka kufanya upuuzi wake asifanyie nyumbani....that's how men help each other... siyo kupeana sumu!!


Babu DC!!
 
Si boys wote wana support ata kama he supports labda hawezi kufanya barking dogs seldom bites

Sijageneralize hapa.....kitendo cha kuona kicho kitu ni sawa inaonyesha ni mazingira waliyozoea kutokuheshimu ndoa zao
 
MNASEMA............ BADO NIPO NIPO SANAAAA!!!!!! Wanamega majimama, wanamega vimada, wanamega hadi beki tatu! Mtu ameoa ila anakitombesha kama kawa! Na Bado mnanishauri harusi!!!!!!!!!? Kumegewa hilo moja je kutupiwa virago ushafikiria????????

BADO NIPO NIPO SANAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!

Kwa lolote lile, bado hicho kikombe utakinywea tu lara 1....

Just get prepared for a million surprises......+ve or -ve,...hard to say now!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahaha
lara 1 usiogope, watu wako tofauti! Ingekuwa hivyo wengi wasinge olewa!

MNASEMA............ BADO NIPO NIPO SANAAAA!!!!!! Wanamega majimama, wanamega vimada, wanamega hadi beki tatu! Mtu ameoa ila anakitombesha kama kawa! Na Bado mnanishauri harusi!!!!!!!!!? Kumegewa hilo moja je kutupiwa virago ushafikiria????????

BADO NIPO NIPO SANAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo jamaa kazidisha kuleta mwanamke kwenye kitanda unacholala na mkeo ni kosa kubwa sana


Sasa hapa unaongea kama mwenzetu wa 1947....

Basically, na kwa uzoefu wetu, cheating is not a breaking news...labda kufanya huo upuuzi kwenye kitanda cha mke/mume wa ndoa...

Babu DC!!
 
Hahahahahahahahahaha
lara 1 usiogope, watu wako tofauti! Ingekuwa hivyo wengi wasinge olewa!

Wenzio wakinyolewa zako tia maji! Sasa mi naamua kutia mafuta kabisaaa ili mkasi uteleze nisinyolewe!!!!!!!! I know im not special na upuuz kama huu kwa mie Kubwa la Maadui sikawii kumuwekea mtu dawa ya uhanisi kwenye juisi! Dhambi za nini? Bado nipo nipo sanaaaaaaaaaaaa!
 
Sasa hapa unaongea kama mwenzetu wa 1947....

Basically, na kwa uzoefu wetu, cheating is not a breaking news...labda kufanya huo upuuzi kwenye kitanda cha mke/mume wa ndoa...

Babu DC!!

Ndo hapo chacha kucheat si jambo la ajabu kiukweli

Happy New Year!!
 
Wanajamii natumaini mpo poa, kunakitu kimentatiza npo na bf tunakaribia kuanza taratibu za uchumba, yeye ana kaka yake ambae ameoa ila kwa sasa kaka yake huyo hayupo sawa na mkewe wametofautiana, ifu imetokea mkewe kapata safar ya nje kikazi. sasa kaka mtu amemsoudisha kimada wake aje kulala hapo home kwake et na huyu mchumba mtarajiwa anasupport tu aende akalale sababu mke wa kaka haelewani na mumewe!!!!!!! sasa na mim nawaza Binadamu kukosana kupo so atakua ananifanyia hivihivi?? pole kwetu wanawake kwa kweli
Kwa kweli poleni sana! Nadhani huyo mchumba wako amekuwa muwazi tu...angetaka kuwa 'politically correct' angeweza tu kukuzuga! Kwa hiyo umeamua 'kusuka' au 'kunyoa'?

Kwan hijui kama majanaume ya kibongo karibia yote yapo hivyo hivyo hata kama likikaa kimya.
sijui tumerogwa na nani?
Nadhani kote tu wapo: Kina Zuma, Kina Tigerwoods, Kina Clinton, Kina Berlusconi etc :biggrin1::biggrin1::biggrin1:.
 
Binadamu wako tofauti ila ukimuona mtu anasapport jambo kama hilo huna budi kumuwekea question mark?????
Japokua mapenzi ya dhati yamepungua ila ni dhahiri watu tunatakiwa kuyalinda na kuyajenga ipasavyo ili tu tuweze kuvumiliana na kuishi vyema.
Tuondoe tofauti zetu na kujishusha pale tunapoona hali sio nzuri.
 
Hahahahahahahahahaha
lara 1 usiogope, watu wako tofauti! Ingekuwa hivyo wengi wasinge olewa!

Mwache aogope mapema bwana,

Anaweza kuwahi kwa Bishop akitoloshewa kwenye convient....nimeambiwa Masista wa Canosa wanahitaji new blood...:whistle::whistle:

Babu DC!!
 
Wenzio wakinyolewa zako tia maji! Sasa mi naamua kutia mafuta kabisaaa ili mkasi uteleze nisinyolewe!!!!!!!! I know im not special na upuuz kama huu kwa mie Kubwa la Maadui sikawii kumuwekea mtu dawa ya uhanisi kwenye juisi! Dhambi za nini? Bado nipo nipo sanaaaaaaaaaaaa!

Sasa hivi tumehamia Digital, tutakunyoa na mashine sio mkasi tena.
 
Ndo hapo chacha kucheat si jambo la ajabu kiukweli

Happy New Year!!


Ahsante sana mkubwa mwenzangu....

Ndiyo maana nikiona watu wanajadili hilo jambo, mwenzio najua hao bado bado sana...

Sie tuliokwishastaafu tunachojua kwenye misamiati yetu ni kwamba wenzetu wanatumia akili na busara....baaasi...

Ila hayo mengine wala, hata hatuulizi!!

Babu DC!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom