MINJA VINCENT
Senior Member
- Aug 31, 2015
- 180
- 24
Hapa unatupia kitu cha ajabu sana ambacho uliwahi kuambiwa/kufanyiwa na mpenzi wako wa zaman au wa sasa na kikakuacha mdomo wazi. MIMI naanza........ 'Baby naomba unibebe nimechoka' afu akakaa chini nakunyoosha miguu,kumbuka hapo ni sokoni na watu wamejaa!