Boyfriend&girlfriend

Boyfriend&girlfriend

MINJA VINCENT

Senior Member
Joined
Aug 31, 2015
Posts
180
Reaction score
24
Hapa unatupia kitu cha ajabu sana ambacho uliwahi kuambiwa/kufanyiwa na mpenzi wako wa zaman au wa sasa na kikakuacha mdomo wazi. MIMI naanza........ 'Baby naomba unibebe nimechoka' afu akakaa chini nakunyoosha miguu,kumbuka hapo ni sokoni na watu wamejaa!
 
Hapa unatupia kitu cha ajabu sana ambacho uliwahi kuambiwa/kufanyiwa na mpenzi wako wa zaman au wa sasa na kikakuacha mdomo wazi. MIMI naanza........ 'Baby naomba unibebe nimechoka' afu akakaa chini nakunyoosha miguu,kumbuka hapo ni sokoni na watu wamejaa!

Mbona sikumbuki?
 
itakua hamjaele, ni hivi, kila mtu amewahi kuwa na mpenzi sawa? katika mahusiano yenu unakumbuka nn ambacho mpenz wako wa kike/kiume wa zamani au wa sasa aliwahi kukufanyia/kukuambia na kikakushangaza sana? mi nimetoa mfano kwamba kuna cku moja nlikua sokoni na mpenz wangu,mara gafla akakaa chini nakunyoosha miguu huku akisema baby nibebe nimechoka na watu wamejaa sokon. hiki ni kituko niliwah fanyiwa na mpenz wangu. je wewe uliwah fanyiwa au kuambiwa nn na mpenz wako kikakushangaza?
 
itakua hamjaele, ni hivi, kila mtu amewahi kuwa na mpenzi sawa? katika mahusiano yenu unakumbuka nn ambacho mpenz wako wa kike/kiume wa zamani au wa sasa aliwahi kukufanyia/kukuambia na kikakushangaza sana? mi nimetoa mfano kwamba kuna cku moja nlikua sokoni na mpenz wangu,mara gafla akakaa chini nakunyoosha miguu huku akisema baby nibebe nimechoka na watu wamejaa sokon. hiki ni kituko niliwah fanyiwa na mpenz wangu. je wewe uliwah fanyiwa au kuambiwa nn na mpenz wako kikakushangaza?

Ulimbeba au ilikuaje?
 
Hapa unatupia kitu cha ajabu sana ambacho uliwahi kuambiwa/kufanyiwa na mpenzi wako wa zaman au wa sasa na kikakuacha mdomo wazi. MIMI naanza........ 'Baby naomba unibebe nimechoka' afu akakaa chini nakunyoosha miguu,kumbuka hapo ni sokoni na watu wamejaa!

Kinaweza kuwa kitu cha ajabu, lakini pia ikawa no kituko hivyo lo ni aibu kidogo kitupia hicho
 
Back
Top Bottom