Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Waandike hati mbili original zenye majina yao wote mfano!! Sisi Mario barotelli na Rihana Brown tunanua shamba/kiwanja xx,mmoja abaki na nakala moja(original) na mwingine abaki na nyingine original.
 
Nakumbuka yalinitokea haya! Enzi hizo na Boyfie apo ndo malovee yamekolea nazi nakwambia.. Yupo bimkubwa kazini wanaviwanja mbezi wanauza tununue!

Mtoto na damu yakichaga nkamuliza then tutaandika jina la nani..oh lakwangu... Nkamwambia why not mine?eti mwanaume ndo inaeleweka zaidi kwani unawasiwasi gani bebi!! Wakati tutaoana!mtoto penzi la kwanza kidogo niingie mkenge.
Mizimu ya mabibi ikanigusa bega shtukaaa! Nikagoma! Nkamwambia labda tununue viwili tusave kila mtu na chake ama hela tuifanyie shopping! Lol
ikabidi ni kusave! Then ikapatikana kinyerezi na kibamba! Nakumbuka ilikuwa kama mil3 each hivi!
Yes kila mtu na maisha yake now but atlst we have gud satsfied memories each!

Shogaako afanye kama mimi or waandikishane kama ameshindwa wawe owners wawili!

Maana uboyfie na ugrlfie hauna guarantee!

Kwl ndg yangu bora mizim ilikustua mapema,maana wanaume hawa,mmh 2waangalie2 kwa jicho la3!
 
Asithubutu yaani atalizwa vibaya boyfrend saa yoyote atambwaga na kama ana nia njema kwa nini wasiandike majina yote.
 
mizimu ya bibi ya uchagani?
naona wadada wa kichaga huwa hawaingizwi mkenge kirahisi
hata kama shule ya msingi hakumaliza....hawaingizwi mkenge
wengine unakuta ana degree mbili na anaingizwa mjini na kidume standard seven..
me naona kwa uchagani ipo kwenye damu either akuwahi au umuwahi ila ukimuwahi subiri revange! me kwa uzoefu wangu uchagani ndo formula ya maisha ...timing
 
420036_590390307655891_1457468021_n.jpg
 
Waandike jina la dada. Zaidi ya hapo ni utapeli mtupu.
 
Mwambie ajihesabu kahonga...teh teh teh...liwalo na liwe...akiolewa haya; akiolewa mwingine yote maisha...

SIku hizi hata wanandoa wanaandika majina mawili sembuse girl friend....kaonga huyo hakuna cha partnership hapo
 
Ukisikia kulazimisha ndoa ndio huko...hapo utakuta anajipa moyo kuwa kiwanja ndio bond......'hawezi kuniacha tumefanya mambo mengi pamoja'

Halafu kesho atakuja kulia wanaume wabaya, mambo mengine wanayataka. kama wanapendana sana di waoane, waje wafanye wote pamoja! wajinga ndio waliwao
 
Namuheshimu mwanamke anayenifanyia jambo ambalo hakuna mtu anaweza nifanyia! Na naamini anifanyiaye jambo hilo ananipenda na kamwe sita mwangusha. Natambua Kuna wajinga wanaotumia hayo hayo kama mtego wa kuninasa lakini wanashindwa kabla hawaaanza coz Mungu kanipa maarifa ya kiume nawajua mapeeeema.
Ndoa inatengenezwa na wakati mwingine inapiganiwa kwa maarifa makubwa.
KAMWE usimuoneshe mchumba wako dalili za kutomuamini-akijua atakuachilia mbali na kinyume chake huleta tumaini kubwa sana.
Hbr sio tuu kuolewa, hbr ni kuwa na maisha mazuri ya Ndoa.
Usiombe ushauri kwa mjinga coz atakugawia ujinga.
Naishia hapo
 
if you don't mind, tupe feedback maamuzi ya rafiki yako yalikuwaje
 
if you don't mind, tupe feedback maamuzi ya rafiki yako yalikuwaje

Mkuu hakununua alifata ushauri wa wengi na ndio huyo muhusika wa Uzi uliotoka kucoment muda mchache wa amerudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom