Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Upumbavu huo mie sifanyi,mijianaume ya siku hopeless kabisaa

Kuna bi dada aliwahi kushare business na boyfriend wake,akatoa 7m mfukoni,kwa kumuamini jamaa,document zote muhimu zilikuwa na majina ya mkaka,walivyoachana dada aliliaje na pesa keshapoteza na hazikurudi.......!wadada hata ukimpenda Mtu kiasi gani so Long as siyo mmeo,why bother ?
 
Nakumbuka yalinitokea haya! Enzi hizo na Boyfie apo ndo malovee yamekolea nazi nakwambia.. Yupo bimkubwa kazini wanaviwanja mbezi wanauza tununue!

Mtoto na damu yakichaga nkamuliza then tutaandika jina la nani..oh lakwangu... Nkamwambia why not mine?eti mwanaume ndo inaeleweka zaidi kwani unawasiwasi gani bebi!! Wakati tutaoana!mtoto penzi la kwanza kidogo niingie mkenge.
Mizimu ya mabibi ikanigusa bega shtukaaa! Nikagoma! Nkamwambia labda tununue viwili tusave kila mtu na chake ama hela tuifanyie shopping! Lol
ikabidi ni kusave! Then ikapatikana kinyerezi na kibamba! Nakumbuka ilikuwa kama mil3 each hivi!
Yes kila mtu na maisha yake now but atlst we have gud satsfied memories each!

Shogaako afanye kama mimi or waandikishane kama ameshindwa wawe owners wawili!

Maana uboyfie na ugrlfie hauna guarantee!


Umenikumbusha miaka hiyo mapenzi motomoto mtoto wa kike. Huku na kule kikapatikana kiwanja kinyerezi, kikubwa tu cha kutosha. Bei mil 12. Mtoto wa kichaga nilikilipia hicho kiwanja kwa mikupuo 3,na kuandika jina langu jicho kavuuuu na haikuwa kwa siri, alifahamu kila kilichoendelea.

Mtoto wa kike lazima ujitambue, ujielewe na uone upepo unakwendaje and not in the name of "tukionana" au kufanya
assumptions ambazo huna uhakika na kesho mambo yanakuwaje. Binadamu wanabadilika. Unfortunately things didn't
work out, i was in very safe hands......

Well mkioana, mtabadilisha mkataba na uwe mali ya mume na mke kwa makubaliano.
 
Jaman mbona coment zote ni negative? Wanafanya mipango pamoja, wanatekeza pamoja na itakuwa kwa maslahi yao wote, kwanini alikubali mwanzoni, means alieleweshwa faida akaelewa, why you guys are trying to unlearn the concepts?????
 
iwe joint occupany tu,itakua na majina ya wote.same rights same obligations,ila mmoja akifa inrtransfer kwa aliyesurvive under the survivorship rule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom