Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Boyfriend anataka wanunue kiwanja cha pamoja

Honestly, asitoe hiyo pesa. Atakuja kulia kikwao bure. pesa mtoe pamoja, jina aandikwe kidume, mbona majanga! kwa nini asiandikwe bidada? kama bf hamwamini gf wake, kwa nini yeye aaminiwe?

kuna bidada alijipendekeza hivyo hivyo wakiwa wachumba. wakanunua kiwanja kwa jina la mshikaji. baadaye jamaa akaanza kujenga nyumba bila binti kujua. alipokuja shtuka, jamaa ana gf mwingine with serious relationship. the monster monopolised the pieace of land na dada hakuwa na ushahidi wa kudai haki yake!
Nilipo bold, ndo penyewe
 
Mmmmmmmmmmmmh! Kaka B kapropose eeeeeeeeeeh!? Najua utakuwa umevimba hapo ulipo!
 
Daaah! boyfrendi?+ kiwanja?+jina la mwanaume?=HURUMAAAA!!! Aiseee cna usemi!!
 
Nakumbuka yalinitokea haya! Enzi hizo na Boyfie apo ndo malovee yamekolea nazi nakwambia.. Yupo bimkubwa kazini wanaviwanja mbezi wanauza tununue!

Mtoto na damu yakichaga nkamuliza then tutaandika jina la nani..oh lakwangu... Nkamwambia why not mine?eti mwanaume ndo inaeleweka zaidi kwani unawasiwasi gani bebi!! Wakati tutaoana!mtoto penzi la kwanza kidogo niingie mkenge.
Mizimu ya mabibi ikanigusa bega shtukaaa! Nikagoma! Nkamwambia labda tununue viwili tusave kila mtu na chake ama hela tuifanyie shopping! Lol
ikabidi ni kusave! Then ikapatikana kinyerezi na kibamba! Nakumbuka ilikuwa kama mil3 each hivi!
Yes kila mtu na maisha yake now but atlst we have gud satsfied memories each!

Shogaako afanye kama mimi or waandikishane kama ameshindwa wawe owners wawili!

Maana uboyfie na ugrlfie hauna guarantee!
 
Mkataba waandike.majina yote wakishaoana wataanza mchakato wa hati kwa majina yote!!!!!!

Ila hiyo share awe tayari kuendelea nayo mpaka mwisho yaani kama nyumba ni 80M basi aandae hiyo 40M kabisa siyo kudai mwanzo halafu kwenye ujenzi ajidai yeye atashughulikia mambo ya nyumbani!!!!!

Umemaliza kila kitu mkuu enough said..
 
Nakumbuka yalinitokea haya! Enzi hizo na Boyfie apo ndo malovee yamekolea nazi nakwambia.. Yupo bimkubwa kazini wanaviwanja mbezi wanauza tununue!

Mtoto na damu yakichaga nkamuliza then tutaandika jina la nani..oh lakwangu... Nkamwambia why not mine?eti mwanaume ndo inaeleweka zaidi kwani unawasiwasi gani bebi!! Wakati tutaoana!mtoto penzi la kwanza kidogo niingie mkenge.
Mizimu ya mabibi ikanigusa bega shtukaaa! Nikagoma! Nkamwambia labda tununue viwili tusave kila mtu na chake ama hela tuifanyie shopping! Lol
ikabidi ni kusave! Then ikapatikana kinyerezi na kibamba! Nakumbuka ilikuwa kama mil3 each hivi!
Yes kila mtu na maisha yake now but atlst we have gud satsfied memories each!

Shogaako afanye kama mimi or waandikishane kama ameshindwa wawe owners wawili!

Maana uboyfie na ugrlfie hauna guarantee!

mizimu ya bibi ya uchagani?
naona wadada wa kichaga huwa hawaingizwi mkenge kirahisi
hata kama shule ya msingi hakumaliza....hawaingizwi mkenge
wengine unakuta ana degree mbili na anaingizwa mjini na kidume standard seven..
 
mizimu ya bibi ya uchagani?
naona wadada wa kichaga huwa hawaingizwi mkenge kirahisi
hata kama shule ya msingi hakumaliza....hawaingizwi mkenge
wengine unakuta ana degree mbili na anaingizwa mjini na kidume standard seven..

I and me kwanza halafu we mwisho ndio you!!!!!!

Tangu mabibi na mabibi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom