Habari wana JF,
Nimekuwa single kwa muda mrefu sana kama miezi 9 hivi, lakini hivi karibuni nilikutana na kijana na nikampenda sana baada ya kukaa nae kama wiki mbili tukiwasiliana aliomba aje anitembelee kwangu kwa sababu tusingeweza kukutana bar maana hakuwa na pesa.
Nikamkaribisha akaja tukapiga story na akasema hana kazi anatafuta ajira. Basi nikaona nisimuache eti kisa hana kazi nikamuambia nitamsaidia kutafuta kazi, kwahiyo nikawa kila nikifika ofisini naingia kwenye mtandao natafuta matangazo ya ajira ya proffession yake then naprint nampa ana apply.
Lakin siku moja nilimuomba anionyeshe anapoishi ili nipafahamu maana yeye tayari anapafahamu ninapoishi ila alikua mkali na kudai eti anaishi kwao wakati ni mtu mzima na aliwahi kuniambia hana ndugu maeneo haya, nikapotezea. Siku moja tukawa tunachati usiku akaniambia anataka kuoga nimuache aoge then tuendelee kuchart.
Nikamtania kuwa asioge mbona mimi huwa siogi, loooooh alichonijibu ndo kimefanya niandike hii thread, alinijibu..'acha kuoga unuke naniliu' nikamwambia hii hua hainuki ni orijino from Germany akaniambia 'hainuki eee hebu jitie kidole unuse mshenzi wewe' nilisikia kuzimia maana hata hatujawahi kufanya mapenzi sasa amejuaje kunuka kwangu, nliamua kukata mawasiliano naye lakini eti anaomba msamaha eti alikua ananitania, utani gani jamani huo.
Hebu nisaidieni mawazo kama anafaa kusamehewa
Hakuna kitu kibaya kama kumsaidia mtu akiwa na shida...Kuna dada mmoja alikuwa na boyfriend, huyo jamaa alikuwa na matatizo ya Figo. Yule dada akamtolea Figo moja baada ya jamaa kupona akaja kuoa mwanamke mwingine.
Habari wana JF,
Nimekuwa single kwa muda mrefu sana kama miezi 9 hivi, lakini hivi karibuni nilikutana na kijana na nikampenda sana baada ya kukaa nae kama wiki mbili tukiwasiliana aliomba aje anitembelee kwangu kwa sababu tusingeweza kukutana bar maana hakuwa na pesa.
Nikamkaribisha akaja tukapiga story na akasema hana kazi anatafuta ajira. Basi nikaona nisimuache eti kisa hana kazi nikamuambia nitamsaidia kutafuta kazi, kwahiyo nikawa kila nikifika ofisini naingia kwenye mtandao natafuta matangazo ya ajira ya proffession yake then naprint nampa ana apply.
Lakin siku moja nilimuomba anionyeshe anapoishi ili nipafahamu maana yeye tayari anapafahamu ninapoishi ila alikua mkali na kudai eti anaishi kwao wakati ni mtu mzima na aliwahi kuniambia hana ndugu maeneo haya, nikapotezea. Siku moja tukawa tunachati usiku akaniambia anataka kuoga nimuache aoge then tuendelee kuchart.
Nikamtania kuwa asioge mbona mimi huwa siogi, loooooh alichonijibu ndo kimefanya niandike hii thread, alinijibu..'acha kuoga unuke naniliu' nikamwambia hii hua hainuki ni orijino from Germany akaniambia 'hainuki eee hebu jitie kidole unuse mshenzi wewe' nilisikia kuzimia maana hata hatujawahi kufanya mapenzi sasa amejuaje kunuka kwangu, nliamua kukata mawasiliano naye lakini eti anaomba msamaha eti alikua ananitania, utani gani jamani huo.
Hebu nisaidieni mawazo kama anafaa kusamehewa
Neno ni jinsi utakavyolitafsiri, ukiona yakupendeza kuwe na mrembo wa kiume na iwe hivyo ila sio maneno yangu, ni maneno yangu, tafsiri itakavyokupendeza wewe"mrembo wa kike"!! Hi inaimply kuna warembo wa kiume pia, ati???
Ukishanambia mshenzi tu...kibuti kinakuhusu. My dear the guy is not of your class, tuliza moyo na akili utampata your soul mate mwayaa. Pole
Habari wana JF,
Nimekuwa single kwa muda mrefu sana kama miezi 9 hivi, lakini hivi karibuni nilikutana na kijana na nikampenda sana baada ya kukaa nae kama wiki mbili tukiwasiliana aliomba aje anitembelee kwangu kwa sababu tusingeweza kukutana bar maana hakuwa na pesa.
Nikamkaribisha akaja tukapiga story na akasema hana kazi anatafuta ajira. Basi nikaona nisimuache eti kisa hana kazi nikamuambia nitamsaidia kutafuta kazi, kwahiyo nikawa kila nikifika ofisini naingia kwenye mtandao natafuta matangazo ya ajira ya proffession yake then naprint nampa ana apply.
Lakin siku moja nilimuomba anionyeshe anapoishi ili nipafahamu maana yeye tayari anapafahamu ninapoishi ila alikua mkali na kudai eti anaishi kwao wakati ni mtu mzima na aliwahi kuniambia hana ndugu maeneo haya, nikapotezea. Siku moja tukawa tunachati usiku akaniambia anataka kuoga nimuache aoge then tuendelee kuchart.
Nikamtania kuwa asioge mbona mimi huwa siogi, loooooh alichonijibu ndo kimefanya niandike hii thread, alinijibu..'acha kuoga unuke naniliu' nikamwambia hii hua hainuki ni orijino from Germany akaniambia 'hainuki eee hebu jitie kidole unuse mshenzi wewe' nilisikia kuzimia maana hata hatujawahi kufanya mapenzi sasa amejuaje kunuka kwangu, nliamua kukata mawasiliano naye lakini eti anaomba msamaha eti alikua ananitania, utani gani jamani huo.
Hebu nisaidieni mawazo kama anafaa kusamehewa
Aysee siku hizi single ya mda mrefu ni miezi 9? Duh...mimi ninamwaka wa 5 huu na sijapata hata tuzo!
Nionavyo mimi jamaa ni noma kashindwa hata kuigiza mbaya zaidi hata papuchi hajaigegeda? Karopoka hayo je akikuta mabwawa yasio na nishati?