Botswana wananifurahisha sana.
Nimetoka kusema kwenye thread nyingine, nchi za Afrika zinatakiwa kufukuza hawa mabalozi wa Marekani na kuvunja uhusiano wa kibalozi na Marekani mpaka rais wa Marekani aombe radhi.
Aone kwamba Marekani hata kama ina nguvu vipi, nayo pia inategemea ushirikiano na nchi za ki Afrika katika vita dhidi ya ugaidi, biashara etc.
Afrika kwa sasa inaweza kirahisi sana kuamua kufanya biashara na Ulaya na China, ikaipotezea Marekani.
Nenda YouTube kaangalie ile video ya wazungu walivyo mtukana trump na kumkanyulia makalio kwenye tower zake!Na huyu mwingine mnasema hayohayo!
Wewe ni uchafu tu, sio Mimi ni Trump [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo penye red ndio jibu lilipo, ni mwendawazimu, hajielewi!Hapa suala si mtu kukuita mbwa na wewe kupambana naye.
Suala ni, mtu akikuita mbwa halafu mwanawe anakuja kuchumbia kwako, utakubali huo uchumba?
Kuna ujumbe wa bunge la Marekani unakuja Botswana kutafuta deals. Kuna wafanyabiashara wa Marekani wako Bitswana wanafanya deals.
Trump mwenyewe kasema rafiki zake wanakuja Afrika kutafuta utajiri.
Sasa kama huko ni shithole countries, kwa nini hawaishi kuja?
Africa hata nchi inayoonekana haina kitu, ina jangwa tu kama Niger, ina uranium inayotakiwa dunia nzima kwenye nuclear weapons.
Sasa mtu mwenye akili ataziitaje hizi nchi shithole wvwn from a merely practical standpoint?
Kwa hivyo utaukubali au utaukataa uchumba?Hapo penye red ndio jibu lilipo, ni mwendawazimu, hajielewi!
Kama anatuma mwanawe kuja kuchumbia kwako maana yake yeye ndie mbwa namba moja, kazaa mbwa anayekwenda kuchumbia kwa mbwa. Ukiukataa uchumba wakati yeye anajiona ni binadamu afu ww mbwa utakuwa umeafiki kuwa ww ni mbwa kweli!
Kupambana na trump utapata presha bila sababu! Uwezo wake wa kupambanua mambo ni mfupi sana! Ni rahisi sana kwake kufikia hitimisho lenye mlengo mfinyu sana!
ulaya na china wanaitegemea marekani piaBotswana wananifurahisha sana.
Nimetoka kusema kwenye thread nyingine, nchi za Afrika zinatakiwa kufukuza hawa mabalozi wa Marekani na kuvunja uhusiano wa kibalozi na Marekani mpaka rais wa Marekani aombe radhi.
Aone kwamba Marekani hata kama ina nguvu vipi, nayo pia inategemea ushirikiano na nchi za ki Afrika katika vita dhidi ya ugaidi, biashara etc.
Afrika kwa sasa inaweza kirahisi sana kuamua kufanya biashara na Ulaya na China, ikaipotezea Marekani.
Na Marekani inazitegemea Ulaya, China na Afrika.U
ulaya na china wanaitegemea marekani pia
Kwa akili yako inafikiri katukanwa nani pale? Ni mama na babaako kule kijijini mkuutrump yupo sahihi, mmezoe maneno yakulembwa
trump anasea ukweli kama unahasira ni wewe na mkeo mkalie chumbani kwenu
msubiri utawala democratic watawaficha, fyuuuuuuuuu
Tofauti ni kubwa sana huyu wa Tanganyika hajalelewa kwenye mazingira ya pesa (utajiri), huyu wa kwetu ni lazima awe mkali kwa sababu upole na umwinyi ndio uliotufikisha kwenye mkwamo mbaya wa kimaisha.Ana tofaut ipi na rais wa Tanganyika
Kwa akili yako inafikiri katukanwa nani pale? Ni mama na babaako kule kijijini mkuu