Botswana wageni waondoka kwa wingi

Botswana wageni waondoka kwa wingi

Delegate

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
331
Reaction score
203
Tunakuja kubanana hapo Tanzania baada ya mambo kwenda kombo huku Botswana
tangu mwaka jana mwanzoni idadi ya wageni wanaoishi kihalali hapa Botswana imepungua kwa aslimia 50
serikali ya Botswana imetoa masharti magumu kwa wageni kuomba permit za kazi au biashara au ku renew permit kwa wale waliokuwa wakiishi hapa tangu zamani
kwa kweli haitawezekana tena kwa wageni kuishi Botswana
wahindi na wachina waliokuwa wamezagaa kila kona ya nchi hii wametoweka ghafla baada ya kubanwa mbavu na makaratasi ta kuishi hapa
wengi wa wageni waishio hapa wanakimbilia Tanzania hatujui kuna nini huko
tunarejea home ndugu zangu tujenge nchi yetu pamoja
 
Ahsante kwa kutupa taarifa. Karibu tena Bongo.
 
Naomba mwenye taarifa za opportunities Zimbabwe atujulishe, kunakalika?
 
Kweni wameona nini au unafikiri wamewastukia kama mnatengeneza hela. Njoo mimi ni fundi allumium na vioo sina mtaji lakini inalipa
 
Karibuni sana,

Huku wahamiaji haramu ni wa Ethiopia tu!wengine wote ni halali.
Siku ikifika hata huku watakimbia.

Angalizo:
Mje na Fedha sio maradhi

Teh teh teh...... mkulu acha kuwatishia wana wapotevu...... wamejiwa na ufahamu kuwa kumbe nyumbani hakukuungua moto.... bado kupo....

Ila kweli maana nasikia kule ngoma ni balaa..... mabinti wa kitswana wakiona mbongo wanapagawa.... sijui kwa nini???
 
Wageni wamesaidia sana ile nchi kukua uchumi wake lakini kwa upuuzi wao sasa with their s..tupid nationalism wamekuja na hii idea,soon watagundua wageni ilikuwa ni kwa faida yao ila itakuwa too late
 
Leo ndio mmegundua kuwa mnatakiwa kuja tujenge nchi yetu pamoja sio baada ya kutimuliwa huko?

Haya njooni
 
Back
Top Bottom