Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,666
- 1,407
IMO haijalishi kua Wa TZ wako wangapi China and Wachina wako wangapi TZ
Watanzania wanaweza kua wako wengi China but katika an individual basis kiasi
kwamba hata kama serkali yetu inaelewa wako wangapi huko... haina maana...
Shida ni kwamba the Chinese ni moja wa race ambayo iko so conniving na kua hua
wana strategies za nguvu na za malengo yenye end result yenye manufaa kwao...
Kwamba in the long run serkali yao itaangalia ni jinsi gani waboreshe uwepo wa hawa
wananchi wao waweze sukwa ipasavyo katika system ya inchi ndogo kama TZ.
Na ukiiangalia kwa undani.... Kweli we are in trouble... too soon to tell nini but
still aftermarth-trouble from ther in-flow will be there all the same!!
Hahaha ! Asha.. mbona wanitafuna mzima mzima hivi..?!! mimi nimetoa suggestion wasichkue maamuzi ya haraka ambayo baadaye tutakuja kuyajutia wenyewe !
Yiwu kule kunakuwa exhibition za balozi mabalimbali ... ukifika ule mji ni kama haumo ndani ya china actually ni one of the bigest international trade city ... kuna wajasiria mali wengi sana wa tanzania wanafanya biashara na mataifa mbalimbali duniani kupitia YIWU!..
http://en.wikipedia.org/wiki/Yiwu_market
nakumbuka nilifika katika kijibanda cha exibition about tanzania ... muda wa daikika chache nilizokaa alikuja mtu toka jordan akiuliza kuhusu mafuta ya alizeti kama yanapatikana bongo ... etcl! my point tunapata wawekezaji kupitia china coz ni moja ya nchi inatembelewa na wafanyabiashara wengi mno..
so tufikirie mara mbili kuwatimua wachina bongo..! kwani mkomunist hakopeshi atawatimuwa wabongo wote na yeye katika kila kona ya china alafu tuone nani atakayepata hasara !...
tukiingia katika swala zima la Elimu! .. hebu jaribu kuuliza ni nchi gani inachukuwa mamia ya wanafunzi wa kitanzania kuwosomesha kwa fedha za walipa kodi wao...
Wuhan city! nenda katika kona yoyote ya ule mji sema tanzania ! muda mfupi niliopita ule mji nimekutana na more 80 tanzanians wanasoma kwa schollership kupitia " china schollership council" tena ni wanafunzi wanatoka shule zetu za serikali utasikia mimi nilisoma songea, mwengine tosa maganga, sio wale watoto wa vijisenti ambao tuapigana nao vikumbo uk, usa... etc
My point Mchina anaumuhimu wake kwa nchi kama yetu ilivyomaskini ... unafikiri kwa nini nyerere alikuwa swahiba mkubwa sana na china.. hadi wakaja kutujengea reli ya tazara, leo hii kila mchina ukimwambia unatokeatanzania atakwambia wewe ni rafiki yangu sana na atakukumbusha kuhusu reli ya tazara .
tunachotakiwa kufanya tuwawekee mipaka! kwamba retail trade ibaki kwa wazawa .. wao waishie kwenye whole sale ama industrial level .... kuwafukuza we are the we will be on the loss