Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
View attachment 59496
Hii nasikia haina tofauti na nyambizi; inakatiza hata kwenye mikondo hatari majini!
View attachment 59496
Hii nasikia haina tofauti na nyambizi; inakatiza hata kwenye mikondo hatari majini!
Mkuu Dingswayo, .....ile ilikuwa inaitwa MELIKEBU
View attachment 59496
Hii nasikia haina tofauti na nyambizi; inakatiza hata kwenye mikondo hatari majini!
View attachment 59496
Hii nasikia haina tofauti na nyambizi; inakatiza hata kwenye mikondo hatari majini!
Ngoja waje shemeji zangu watakuambia?Yaani umenikumbusha chombo fulani cha majini wahaya wanakiita "EKITASALI" Sijui bado vipo?
Sio watazileta hizi tayari ziko bandarini Dar zimetia timu!Msicheke magamba kweli watazileta hizo si mmeona bajaj eti ambulance
Unaulizia picha gani tena? au ndo maVALUE yamekuchanginyi mkuu!Picha vipi?
Sio watazileta hizi tayari ziko bandarini Dar zimetia timu!