Boti ya Uokoaji yafika Iringa, Wananchi wakusanyika kushuhudia

Boti ya Uokoaji yafika Iringa, Wananchi wakusanyika kushuhudia

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Lingekuwa linagombea urais lingepata, haliongei lakini limepata washabiki katika mikutano yake
 
Boti imebebwa na semi - Mama anasifiwa.

Sasa hao wakija kuziona Meli za containers itakuwaje?
 
Wakazi wa maeneo ya Ipogolo Kitwiru na mengine ya karibu mjini Iringa wamekusanyika katika eneo la Eso mjini Iringa kushuhudia boti ya uokoaji inayoelekea ziwa Victoria jijini Mwanza huku wakisifu juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuboresha maisha ya watu wake

Soma Pia:Boti inayosafirishwa kutoka Mtwara kwenda Mwanza ni Kero barabarani. Waichinje wasafirishe Vipande


Souce: ITV
Duh mama tena! Mitano tena! Haya nayo ni maoni😂
 
Wakazi wa maeneo ya Ipogolo Kitwiru na mengine ya karibu mjini Iringa wamekusanyika katika eneo la Eso mjini Iringa kushuhudia boti ya uokoaji inayoelekea ziwa Victoria jijini Mwanza huku wakisifu juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuboresha maisha ya watu wake

Soma Pia:Boti inayosafirishwa kutoka Mtwara kwenda Mwanza ni Kero barabarani. Waichinje wasafirishe Vipande


Souce: ITV
Nadhani ingeitwa "Boti ifanyayo kampeni za Mama"!Watu wengi (nadhani wengi wao ni wale ambao hawaishi sehemu zenye usafiri wa kwenye mito,maziwa au bahari)wanaacha kazi au mambo yao na kwenda kushangaa boti/ambulance.Na bado watakwambia hawamdai mtu kitu kisiasa pamoja na ushamba wao ingawa si dhambi iliyo dhahiri.
 
Wakazi wa maeneo ya Ipogolo Kitwiru na mengine ya karibu mjini Iringa wamekusanyika katika eneo la Eso mjini Iringa kushuhudia boti ya uokoaji inayoelekea ziwa Victoria jijini Mwanza huku wakisifu juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuboresha maisha ya watu wake

Soma Pia:Boti inayosafirishwa kutoka Mtwara kwenda Mwanza ni Kero barabarani. Waichinje wasafirishe Vipande


Souce: ITV
stupid burger, wapongeza boti, boti tu! takataka!
 
Back
Top Bottom