Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Ndesaika

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
219
Reaction score
92
Boti hii ina sadikika imegharimu 4 billion tu !! lakini cha kushangaza Boti iliyo nunuliwa na Serikali yetu kwa ajili ya usafiri wa Bagamoyo na ikiwa na ubora usiolingana na hii , imegharimu 8 billion.

Kwa hakika Tanzania ni shamba la Bibi mafisadi wanafaidi kwa mrija bila woga. !!
Capture.PNG
 
Aisee kwa mwendo huu mwaka huu lazima nikatembee Zenji maana kwa hiyo boti hata maji siogopi tena.
 
Huyu mzee huyu ni hatari sana kwa uwekezaji...safi lakini.
 
Elezea ukubwa, material iliyotumika na kadhalika ili tujue vizuri. Kuna baiskeli ya 100,000/= na kuna baiskeli ya 500,000/=

Hivi ushawahi shuhudia makorokocho ya serikalini kuhusu ununuzi wa vitu?
 
mkuu manunuzi ya serikali ni tofauti, huku lazima watu waongeze sifuri, rimu ya karatasi tu kwa tenda ya serikalini inafikia 25,000!!maji makubwa ya uhai lita 1.5,kwa serikalini ni 5000!!!

Hao wangese wanaokula pesa za serikali hovyo hovyo tutawatafuta tu hata ingepita miaka 10 au 100 ni mchwa wabaya sana siku zao zinahesabika bei ya soko ya vitu tunaijua document receipt walizonunulia zipo tutawauliza wakati wananunua walikuwa wanatumia hesabu zipi ambazo sisi hatuzijui!?
 
Bakhresa si agombee URAIS tu maana ameweza na zaidi akiwa RAIS ataweza zaidi...
mawazo yangu tu
 
Fedha yetu imekosa thamani kiasi cha boti kununuliwa tsh.4b/=,mwaka jana ingenunuliwa kwa tsh.2b/= tu.Hongera yetu wtz kwa kuendelea kuwashangilia CCM
 
Tanzinia ni nchi ya kipuuzi sijawahi ona,vyombo vyote mpaka vipewe kibali na ikulu kuchunguza rushwa.......nimechoka .
 
ila izo merit zimejaa ubaguzi ktk kutoa huduma. mizigo aina ya via hawapakii? kwani leseni ya biashara ililuhusu ubaguzi huo? watoa leseni mnataalifa iyo?
 
Back
Top Bottom