BoT yakanusha kuchapisha noti mpya

Kukanusha kwao hakuongezi wala kupunguza kitu kwasababu siku hizi tunawajua sana. Lakini ikiwa habari ni ya kweli, basi tumekwisha inagawa wengine tuliyaona haya kupitia kiona mbali
 
vitisho vya jiwe na kauli zake tata ndio zimetufikisha hapa!

JPM anatawala kwa vitisho, alishamtisha huyo gavana mpya kuwa angeweza kumfukuza kazi kama mtangulizi wake kama asingefuatai amri zake!! Huyu bwana haelewi kuwa BOT ina independence yake kufuatana na sheria iliyoiunda ili kutimiza wajibu wake; haitakiwi kuingiliwa na wanasiasa katika utendaji wake. kuingiliwa utendaji wa BOT na wanasiasa ni kutaka kujijengea mazingira kama ya EPA ya kutaka kuja kuchota fedha pindi uchaguzi utakapowadia. Nina kila sababu ya kuamini kuwa karibu na uchaguzi kutakuja kuwa na wizi mkubwa sana hapo BOT na ndio maana hivi sasa kuna mabadiliko mengi yanafanywa ili kufanikisha zoezi hilo muda ukifika.
 
JPM anatawala kwa vitisho, alishamtisha huyo gavana mpya kuwa angeweza kumfukuza kazi kama mtangulizi wake kama asingefuatai amri zake!! Huyu bwana haelewi kuwa BOT ina independence yake kufuatana na sheria iliyoiunda ili kutimiza wajibu wake; haitakiwi kuingiliwa na wanasiasa katika utendaji wake. kuingingilia utendaji wa BOT na wanasiasa ni kutaka kujijengea mazingira kama ya EPA ya kutaka kuja kuchota fedha pindi uchaguzi utakapowadia. Nina kila sababu ya kuamini kuwa karibu na uchaguzi kutakuja kuwa na wizi mkubwa sana hapo BOT na ndio maana hivi sasa kuna mabadiliko mengi yanafanywa ili kufanikisha zoezi hilo muda ukifika.
mmhh... Mkuu tuna safari ndefu sana, mpaka sasa sioni wa kudhibiti wa kukemea hili!
 
Kampuni zinazo chapisha pesa website zao huweka majina ya nchi NA lini wali wachapia hela hivo siri hakuna.
 
Soma ... Neno la mwisho ... Kwa kila sentensi ... Hafu ... Yaunganishe ... Hizo code sio za nchii hii hafu. Mnatumia ...code za kishamba

Umenifanya nirudie kusoma mara kama 3 alafu nagundua ni chai. Punguza kuangalia movies.
 
Jamaa hataki kusikia mwananchi akihoji kuhusu uchumi wa nchi yetu. cjajua kama hiinchi iko huru bora wakati wa mkoloni
 
Kuchapisha pesa ni sawa na kutoza kodi kwa lazima, maana itasababisha inflation na kushuka thamani ya shillingi
 
Back
Top Bottom