Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Wamekiri ongezeko la deni la Taifa, ila hawajajibu swali, kwamba hela wameitoa wapi?
Au mimi sikulielewa swali la Zitto.
Au mimi sikulielewa swali la Zitto.
vitisho vya jiwe na kauli zake tata ndio zimetufikisha hapa!
mmhh... Mkuu tuna safari ndefu sana, mpaka sasa sioni wa kudhibiti wa kukemea hili!JPM anatawala kwa vitisho, alishamtisha huyo gavana mpya kuwa angeweza kumfukuza kazi kama mtangulizi wake kama asingefuatai amri zake!! Huyu bwana haelewi kuwa BOT ina independence yake kufuatana na sheria iliyoiunda ili kutimiza wajibu wake; haitakiwi kuingiliwa na wanasiasa katika utendaji wake. kuingingilia utendaji wa BOT na wanasiasa ni kutaka kujijengea mazingira kama ya EPA ya kutaka kuja kuchota fedha pindi uchaguzi utakapowadia. Nina kila sababu ya kuamini kuwa karibu na uchaguzi kutakuja kuwa na wizi mkubwa sana hapo BOT na ndio maana hivi sasa kuna mabadiliko mengi yanafanywa ili kufanikisha zoezi hilo muda ukifika.
mmhh... Mkuu tuna safari ndefu sana, mpaka sasa sioni wa kudhibiti wa kukemea hili!
unataka nani azihidhinishe?
Soma ... Neno la mwisho ... Kwa kila sentensi ... Hafu ... Yaunganishe ... Hizo code sio za nchii hii hafu. Mnatumia ...code za kishamba
till now Jakaya's head didnt appeared,will it be magufuli's head??It means Magufuli's head will neither appear in any printed note nor minted coin??
unasema bora wakati wa ukoloni??? Hopely wakati huo unausikiaga tu,but fikr zaidJamaa hataki kusikia mwananchi akihoji kuhusu uchumi wa nchi yetu. cjajua kama hiinchi iko huru bora wakati wa mkoloni
kwa hiyo anaingiza kwenye mzunguko kiaina. Sidhani, kama ndo hivyo,tutakuwa kama Zimbabwe