Huwa nikiona neno "KUSHUSHA RIBA NA HATI FUNGANI" Hapo najua hali ni tete. Au wachumi uchwara mnasemaje hapo?
Hapo lazima tuelewane tu hakuna sababu ya kuniambia mna akiba ya fedha za kutosha wakati mimi mwananchi sina kitu na nmekaa kimya.
Na nyie kaeni kimya tu uhalisia utaonekana tu kadri siku zinavyokwenda. Sio kuleta machapisho ya kisenge hapa wakati sjapata hata chakula cha mchana hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo lazima tuelewane tu hakuna sababu ya kuniambia mna akiba ya fedha za kutosha wakati mimi mwananchi sina kitu na nmekaa kimya.
Na nyie kaeni kimya tu uhalisia utaonekana tu kadri siku zinavyokwenda. Sio kuleta machapisho ya kisenge hapa wakati sjapata hata chakula cha mchana hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app