Ni zile post za mwaka jana, wameniambia aptitude itafanyika next week tarehe 15 Alhamis. Kwa wale wadau kaeni tayari tayari maana kama umeambiwa uende na calculator ujue hapo ngoma itakua nzito.
...challiii angu tangia lile lijamaa linaitwaga libalali lipotee katika mazingira ya kutatanisha, na lile jingine li amatusi, aseeee ule mjengo nauangalia kwenye kalenda tu. mzee wetu mgimwa ...!!??? loh jombaaa kaa mbali au gusa unate babuu,yamejaa machalii ya vigogo ata ukizuia ma EPA yao yanakusemea kwa dingi aisee...anyway chalii angu we nenda kama unakomaa ila ukumbuke nilisha kupa R.I.P in advance...
Ni zile post za mwaka jana, wameniambia aptitude itafanyika next week tarehe 15 Alhamis. Kwa wale wadau kaeni tayari tayari maana kama umeambiwa uende na calculator ujue hapo ngoma itakua nzito.
Ni zile post za mwaka jana, wameniambia aptitude itafanyika next week tarehe 15 Alhamis. Kwa wale wadau kaeni tayari tayari maana kama umeambiwa uende na calculator ujue hapo ngoma itakua nzito.
Da!! Ugali wa moto na mbono huo hauna uyengu "uyengu kwa wale wanaharakati wa marangu sec 1992 kwa mzee kalikali ,mzee simba , babu doo!! rupepo mzee mashinaa na mwanamao watakueleza" Chunga ze deal uko mangi segadansa pafupi ukileta tofauti jombaaa