Halafu hiyo sheria wataisimamiaje? Kwamba tunuse noti kila tunapopewa halafu tukaripoti BOT?
Vitu vingine tuwe tunakaa kimya. Mara ngapi umepewa noti zimefukiziwa ubani hadi iwe issue ya BOT kupiga marufuku?
oi we mzee niajeUkiona hivyo jua noti nyingi zinapita kwa waganga
Aka wichtdokta
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa angu ni dereva alikua anafanya kazi kampuni fulani ya wahindi kurasini alikua anadai wakipewa mshahara, wakati huo bado walikuwa wanapewa cash mkononi sio bank,zile noti zilikua na harufu ya udi.
Bora hizo zinukazo UDI,nyingine harufu yake ni kana zimetolewa mali..... Toni.Unakuta hiyo pesa inakupa maamuzi ya ajabu.Unashangaa umeenda karume kununua misuruali mibwanga.Mara umepoteza.
Ngojea ameenda maktaba ya Gamboshi.Mshana Jr hii imekaaje?
Ndio kina Nani haoWavaa pedo wanaharibu noti zetu