Boss wangu katukanwa

Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Cha kumfanya sidhani kama kipo mwenza wako ni mshari na sababu ushajua mapungufu yake angalia kama unaweza kuishi na kuyazoea na kumchukulia kama alivyo, ni vigumu mtu kubadili tabia. Ila usichoke kuendelea kumwambia kwamba hiyo tabia yake inakukera na huipendi sababu ukikaa kimya, kuna siku anaweza akakufata huko ofisini na kuanzisha fujo.
 
I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake.

Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.

Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
 
Bro huyo she is capable of doing worse things...watch your back..amefanya hivyo akijua fika kama mbwai mbwai na utareact mbaya..don't do that

My instinct tells me you should send her kwao immediately in one peace ili wote m-reflect on what has happened..fanya maombi you have no idea what other evil things she might have done or about to do.
 
I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake.

Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.

Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
Hata kama jamaa angekuwa ana makosa kiasi gani basi ingebidi amalize hasira zake na huyo jamaa yake na sio kutukana kila mtu.., Sijawahi kuona jambo limekuwa-solved kwa matusi.
 
Delete namba za simu zote anza kuzimemorize!!!
:bange::bange::bange:
 
I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake.

Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.

Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.

Hana cha evidence yoyote na boss wangu si mpuuzi kiasi hicho cha kukurupuka ni mtu muelewa.
Na hapa ndio nimeweza kutofautisha!
kuwa duniani kuna watu na viatu.
Matusi hayasaidii sana sana yanakupunguzia heshma.
 
I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake. Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
Kwa hiyo ur suggeting kwamba baada ya kutukana hao watu sasa amepata amani...I think you are more evil than her... Do you have to argue like somebody who haver seen the inside of a class room? Kemea hiyo spirit ndani yako...Kwa taarifa yako approach unayotumia kusolve tatizo ndiyo inayoonyesha kama uko sawa sawa upstairs or ortherwise
 
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .

Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!

Chukua simu yake na wewe tukana wanaume wote walio kwenye simu yake!
 
Chukua simu yake na wewe tukana wanaume wote walio kwenye simu yake!

Atashindwa kuona tofauti yangu na yake!
Cna upuuzi huo naanzaje kumtukana mtu asiye na hatia?
Pili natafuta nini hasa jella au?
 
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .

Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!

Kama unampenda mtarajiwa mke wako kaa nae na mfundishe akuamini. Kama umejua Bosi wako ametukanwa..nenda kamwombe msamaha..yeye ni binadamu kama wewe na kuna uwezekano imeshatokea kwake..
 
Usingeleta JF! Umepoteza time and space

Nimejifunza mengi juu ya hili na nimepata faraja na ushauri mzuri tu ambao nitaufanyia kazi.
Kulileta hapa imenipunguzia hasira nilizokuwa nazo na imenipa mtizamo mpya juu ya uhusiano wetu. So sikama nimepoteza muda mkuu ni megain sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom