Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
ehh RUTH ndo yule aliyegeuka chumv au>?
Eeee..ndo huyo kabisa!
wewe unapaswa urudi sunday school..tena upelekwe boarding!!!
hahaha...ati, Kaizer kaniPM, uli reseat mtihani wa kipaimara!lol
ehh RUTH ndo yule aliyegeuka chumv au>?
Huu ni udhalilishaji mkubwa, sio wakurya wanaopiga wake zao. tatua matatizo yako na huyo mzazi mwenzako ,ambaye amediriki kumtukana boss wako ,nasio kudhalilisha WAKURYA
mhh jamani...mi zaidi ila nataka kukuchoma moto maana najua waogopa moto weye!
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Hujasema ulimkwaza nn hadi afikie uamuzi huo. Naamini yeye sio chizi iko sababu. Pengine umemwonyesha weye ulivyo kicheche uzalendo ukamshinda. kama vipi, mpige chini wengine watadaka!
Bahati kubwa hii....... na hapo cjamuoa bado..!
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Samahani kama nimekukwaza mkuu
Lakini nasikia hawa watu wanawanyolosha sana hawa wanawake vurugu kwa kichapo.
Sina maana hiyo yako! Ni kwania njema tu na kwaheshima yakuwafagilia wakurya.