Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,821
- 31,774
Jamani member wa JF,
Boss wangu kabamba uzi niliochangia kwenye thread ya kivazi,
Sijui kaijuaje UserName yangu humu JF,
Kasema nimeichafua Ofisi yake kwa kusema naweza vaa vazi lolote.
Na kesho nawekwa mtu kati; beibe nasty Cantalisia Lizzy BAGAH YNNAH Husninyo erick52 Kongosho Amyner Kijino Mu-sir
na wengineo...
Nipeni maneno ya kumwambia The Boss,kwani kazi bado naitaka. Mtambuzi Angel Msoffe Nyani Ngabu
Nisaidieni...!!!
Boss wangu kabamba uzi niliochangia kwenye thread ya kivazi,
Sijui kaijuaje UserName yangu humu JF,
Kasema nimeichafua Ofisi yake kwa kusema naweza vaa vazi lolote.
Na kesho nawekwa mtu kati; beibe nasty Cantalisia Lizzy BAGAH YNNAH Husninyo erick52 Kongosho Amyner Kijino Mu-sir
na wengineo...
Nipeni maneno ya kumwambia The Boss,kwani kazi bado naitaka. Mtambuzi Angel Msoffe Nyani Ngabu
Nisaidieni...!!!
Last edited by a moderator: