Ushauri wa bure: Kama kweli
unamuonea huruma huyo kaka aliyefukuzwa kazi bila kosa, basi mpe penzi
huyo bosi wako anayekutaka, kwa sharti moja tu...Amrudishe kazini kaka
wa watu ambaye hana makosa.
Halafu akishamshamrudisha, huyo kaka nae mpe tunda ale ili kupoza
machungu aliyoyapitia!