GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,450
- 127,624
Mkiambiwa Akili zenu ni kama za Kuku na ndiyo maana hata Biblia ( Maandiko ya Mungu Baba ) yametutaka tuishi nanyi kwa Akili mnaona tumewadharau na mnakasirika wakati Kiuhalisia ni kwamba mna Mapungufu makubwa mno na hamtaki Kushaurika au Kujifunza ili mbadilike Kifikra na Kitabia.Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
MWANAKULITAFUTA MWANAKULIPATA ,NDIO UKOME USICHANGANYE MAPENZI NA KAZI
Hakutusikia Wazee wako tulipokuonya kuhusu kutojihusisha na Mahusiano sehemu ya kazi.
Zamani kulikuwa na msemo, "Kusikia kwa Kenge hadi damu imtoke"
Wewe huyo boss wako anamke? Kama ana mke basi na wewe umetenda kosa la kuwa na mahusiano na mume wa mtu. Hivyo kama alivyokutaka wewe NDIVYO atakavyo wataka na hao. Usiumie Kwa Hilo ila umia Kwa dhambi uliyotenda. Yakupasa utubu. BARAKA ZAKE MUNGU MWENYEZI ZA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU ZIKUSHUKIE NA KUKAA NAWE DAIMA.Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Season inayofata, "Nimepata Mimba ya Boss, nifanyaje?"
Well said.Nchi za Afrika (Kusini mwa jangwa la Sahara) ni Maskini kwa sababu tunaendekeza utombanaji maofisini. saa za kazi tunawaza mapenzi tu. Tofauti Na wenzetu wahindi, wachina na Wamarekani hawana maskhara kabisaa maofisini saa za kazi
Sasa kuwa makini usijepata msongo wa mawazo ukaanza kosa usingizi..Asante [emoji24]
Kama mwanaume hawezi kuwa mzima, hawa upinde wa mbinu nyingi kujitangaza shenz sana.Muandiko wa mwanaume.
Anyway, turudi kwenye uzi.
Hutaki azungumze na wafanyakazi wengine? Maelekezo utawapa wewe?
Hebu tulizana.
aidha uachane nae, au uwe single mother.
Never sio kwa mazingira ya kiofisi ,hapo ulifanya mistakeUsinicheke ata wewe inaweza kukutokea dear
Nimecheka kifala maana kama nakuona unavyovimba wanawake wengine wakijibebisha kwa huyo boss wako.Endelea unakaribisha pressu
nimecheka eti tunaendekeza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi za Afrika (Kusini mwa jangwa la Sahara) ni Maskini kwa sababu tunaendekeza utombanaji maofisini. saa za kazi tunawaza mapenzi tu. Tofauti Na wenzetu wahindi, wachina na Wamarekani hawana maskhara kabisaa maofisini saa za kazi
Ndo kinachofuata😂😂Season inayofata, "Nimepata Mimba ya Boss, nifanyaje?"
Unafikiri ni rahisi namna hiyo!Pole sana aisee...achana nae tu kimyakimya[emoji18][emoji18]