Boss wa muhimili wa mahakama ni DPP ama Judge mkuu?

Boss wa muhimili wa mahakama ni DPP ama Judge mkuu?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,149
Reaction score
14,488
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora.

Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe.

Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka.

Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa.
 
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora. Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe. Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka. Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa
Mkuu hii dunia hatuko huru toka enzi na enzi.
 
Unaongelea mtendaji mkuu wa mahakama au?

Mtendaji mkuu wa mahakama ni mtu wa daily operations za kiofisi kama vile kuhakisha magari ya majaji yanaenda gereji, wanalipwa mishahara mahakimu na majaji,kuidhinisha posho zao na hela zao za safari au vikao .Kusimamia ujenzi wa majengo ya mahakama na ukarabati na kusimamia mali za mahakama ,stationery zipo ,mihuri yao ipo na vidau vya wino vipo nk

Hizo kazi zinahitaji mtu awe jaji? Mjinga wewe
 
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora.

Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe.

Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka.

Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa.
Mimi nilitoa msimo wangu juu ya dpp
 
rekebisha

pili DPP ndiye anayetoa kibali kuwa hili peleka mahakamani, ili acha... (kwenye jinai)
Hata mahakamani tunasikia tunasubiri uamuzi wa DPP kama kesi ianze au usitishwe, lakini pia utasikia DPP ameona hakuna haja ya kuendelea na shauri hili, mara utasikia mahakama imemwachia mtuhumiwa lakini alikamatwa tena kwa maelekezo ya DPP.
 
Hata mahakamani tunasikia tunasubiri uamuzi wa DPP kama kesi ianze au usitishwe, lakini pia utasikia DPP ameona hakuna haja ya kuendelea na shauri hili, mara utasikia mahakama imemwachia mtuhumiwa lakini alikamatwa tena kwa maelekezo ya DPP.
sheria inaruhusu hivyo
 
From Chatgpt
Katika mfumo wa kisheria wa Tanzania (na nchi nyingi zinazofuata mfumo wa Common Law kama Kenya na Uganda), Jaji Mkuu (Chief Justice) na Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP - Director of Public Prosecutions) wana mamlaka katika maeneo tofauti ya mfumo wa haki, hivyo si rahisi kusema mmoja ana mamlaka “zaidi” moja kwa moja — bali kila mmoja ana mamlaka ya juu katika wigo wake.


Jaji Mkuu (Chief Justice)
  • Ni kiongozi wa mhimili wa Mahakama.
  • Anasimamia shughuli zote za mahakama kuu na ana jukumu la kuhakikisha mfumo wa utoaji haki unafanya kazi kwa ufanisi, haki, na kwa mujibu wa sheria.
  • Ana mamlaka ya kiutawala na ya kisheria ndani ya mahakama.
  • Anaweza kusimamia kesi muhimu, kutoa maamuzi ya mwisho (kama sehemu ya Mahakama ya Rufaa), na pia ni sehemu ya uteuzi wa majaji wengine.


Mamlaka ya Jaji Mkuu ni ya juu katika mhimili wa Mahakama.



2.

DPP (Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma)
  • Ana mamlaka ya kuanzisha, kuendesha, na kusitisha mashtaka ya jinai kwa niaba ya serikali.
  • Anaweza kuamua kama mtu afunguliwe mashitaka au la, hata kama kuna ushahidi.
  • Anaweza kuingilia mashitaka yoyote yanayoendeshwa mahakamani kwa niaba ya serikali.
  • Mamlaka yake yanalindwa na katiba (Tanzania: Ibara ya 59B).

Mamlaka ya DPP ni ya juu upande wa mashtaka ya jinai.

Ulinganisho kwa ufupi:


KipengeleJaji MkuuDPP
Mamlaka kuuMahakama (Judiciary)Mashtaka ya jinai (Prosecution)
Kazi kuuKusimamia utoaji wa hakiKuendesha mashitaka
Anamwakilisha nani?Mhimili wa mahakamaSerikali
Anaweza kumwamuru nani?Majaji wa chini yakeWaendesha mashitaka (State attorneys)
Anaweza kusimamisha kesi?Ndio, kwa mujibu wa sheriaNdio, kwa mamlaka yake


Hitimisho:
  • Hawapingani moja kwa moja.
  • Jaji Mkuu ana mamlaka ya mwisho katika maamuzi ya mahakama.
  • DPP ana mamlaka ya mwisho katika kuendesha na kusitisha mashitaka ya jinai.

Kwa hiyo, kila mmoja ana mamlaka ya juu katika sekta yake, lakini Jaji Mkuu huonekana kuwa na mamlaka ya juu zaidi kitaasisi kwa kuwa ni kiongozi wa mhimili kamili wa dola (Judiciary), ilhali DPP ni sehemu ya mhimili wa utawala (Executive).
 
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora.

Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe.

Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka.

Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa.
Mkuu, tatizo mhimili moja umejichimbia katika mingine miwili, kiasi kwamba inakosa "check & balance" na kugeuka kuwa matawi yenye utiifu kwa maslahi ya huo mmoja mkuu na wenye nguvu.
 
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora.

Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe.

Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka.

Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa.
We kwl ni km taahira, rudi darasani km huelewi siyo kuja kubwabwaja upuuzi humu
 
Kuna mambo ya hovyo sana Afrika yanafanyika bila kuzingatia uhuru, utu, haki na utawala bora.

Leo mahakamani ambapo ni sehemu huru panategemea maelekezo kutoka kwa DPP ili mtu ashitakiwe ama awe huru? Huu ni uhuni na uhujumu wa uhuru wetu. DPP anapaswa awe checked na mamlaka huru kama bunge na mahakama yenyewe.

Huko mbele wahalifu watajifungua kwenye kichaka cha DPP kutofikisha mahakama ama kufutiwa mashitaka.

Judge mkuu amekuwa celebrate ndani ya mhimili wa mahakama huku DPP ndiyo akiwa na uwezo wa kuamua nani akae rumande, nani atoke nani ashitakiwe hata kama kwa kuonewa.
DPP is not above the law, kuna utaratibu wa kupinga maamuzi yake kama unaona haki haijatendeka (Judicial review) na kufungua kesi, mahakama ina uwezo wa kubadilisha uamuzi wa DPP
 
Back
Top Bottom