cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Maisha haya asikwambie mtu ,baadaa ya kumaliza chuo na kujiajiri na baadae mtaji kukata, akatokea boss mmoja katika jiji moja kubwa hapa Tanzania ameniajiri kwenye kampuni yake.
Nina miezi 6 tu kazini ila sasa boss ananilazimisha nikafuate mzigo Hong Kong tofauti na kazi niliyoajiriwa.
Ananiambia bila kwenda Hong Kong ataniachisha kazi na anaweza kunifanyia kitu mbaya nikiwambia mamlaka.
Ananitaka niende Hong Kong mara moja tu na nikirudi atanipa kazi special kwenye kampuni na pia atanipa kitita cha kutosha.
Naombeni ushauri, nipo kwenye mawazo mazito. Je, nikikamatwa si ndo maisha yangu yatakuwa hivyo tena? Au niache kazi
Nina miezi 6 tu kazini ila sasa boss ananilazimisha nikafuate mzigo Hong Kong tofauti na kazi niliyoajiriwa.
Ananiambia bila kwenda Hong Kong ataniachisha kazi na anaweza kunifanyia kitu mbaya nikiwambia mamlaka.
Ananitaka niende Hong Kong mara moja tu na nikirudi atanipa kazi special kwenye kampuni na pia atanipa kitita cha kutosha.
Naombeni ushauri, nipo kwenye mawazo mazito. Je, nikikamatwa si ndo maisha yangu yatakuwa hivyo tena? Au niache kazi