Matungiza
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 523
- 335
Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.
Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.
My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.
Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.
My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.