Bosi hanuniwi!

Bosi hanuniwi!

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Hivi huu usemi kuwa BOSI HANUNIWI una maana gani? Hata leo asubuh nimesikia mtu akisema hivi.Jamani anayejua zaidi atujuze.
 
Last edited by a moderator:
Hivi huu usemi kuwa BOSI HANUNIWI una maana gani? Hata leo asubuh nimesikia mtu akisema hivi.Jamani anayejua zaidi atujuze.

Usitukane mamba kabla hujavuka mto.

Chezea pesa sio kazi.

Utamu wa kazi pesa.

Asante bosi,asante mungu.

Unamnunua anayekupa mshiko!
Na ye akinuna Je?
Hadi watoto wako&mkeo/mumeo nyumba wananuna!

Cheka na bos!
 
Sasa unamnunia bosi hizo kazi zako nani anazipitisha?muhitaji khanithi lau japo ni rijali.
 
Back
Top Bottom