Bosi anamkosesha raha


Inasikitisha sana, lakini kwa hii issue ninaamini ni neurology problem. Cha ajabu ni akili ya binadamu ikikosea step do.
 
..teh teh, isije kuwa alimwita jina lako wakati wakiwa faragha. That hurts, hata angekuwa mwingine lazima wivu ungemshika. Lakini bwana, workmates wanatumia mda mwingi pamoja, kuanzia saa moja hadi kumi na moja, mimi naona ulimi ukiteleza ni kawaida tu.
 
Hata nnajua ilikua wakati gani? halafu mbaya zaidi 2yrs nilikua na report kwa mumewe na kama yeye hayupo na takeover mimi sasa nimemuelewa mkewe alivyokua akitukana,na nilimwambia nakuelewa unavyotukana hata mimi ningekua kwenye nafasi yako may be ningefanya zaidi ya kutukana,nikajua imekua afadhali DUU ndio imemkera zaidi kaenda kumwambia mumewe umeona bora uchukue mwarabu kabisa umuweke karibu yako mpaka ananitukana,nikaona isiwe tabu bora
niepushe shari nikaenda kusoma....wallah in life unakutana na vituko vingi sanaaaa..
 
mamaeee
ukiona manyoya................

Boss alishapiga choo cha shost apo..maana kama kazaa njemba nne unafikiri boss alitaka zepusi au zebaki??
 
mamaeee
ukiona manyoya................

Boss alishapiga choo cha shost apo..maana kama kazaa njemba nne unafikiri boss alitaka zepusi au zebaki??
FANAAAAREEKI ASHAKUM SI MATUSI DOOOOH,MUOMBE RADHI MKUU.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…