Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 843
WanaJF naombeni mnisaidie kwa ili nabishana sana nadadazangu wao wanataka niwaletee mwanamke mzuri tabia sura yoyote, wakati mie naamini mwanamke sura tabia ntambadilisha mana naogopa kuna wanawake wengine tabia utapenda ila sura mhh balaa,naogopa kuwanyima watoto raha kama wakifwata sura hiyo ya mama yao mwenye tabia nzuri washindwe hata gombea Miss Beachkidimbwi!
Karibuni!!!!!!!!
always girlfriend/nyumba dogo, twafata uzuri
mke ni tabia, full stop
ndio maana twawa na jembe(mke) na wasaluni(hawara)