Bora uzuri au tabia?

WanaJF naombeni mnisaidie kwa ili nabishana sana nadadazangu wao wanataka niwaletee mwanamke mzuri tabia sura yoyote, wakati mie naamini mwanamke sura tabia ntambadilisha mana naogopa kuna wanawake wengine tabia utapenda ila sura mhh balaa,naogopa kuwanyima watoto raha kama wakifwata sura hiyo ya mama yao mwenye tabia nzuri washindwe hata gombea Miss Beachkidimbwi!

Karibuni!!!!!!!!

always girlfriend/nyumba dogo, twafata uzuri

mke ni tabia, full stop

ndio maana twawa na jembe(mke) na wasaluni(hawara)
 
uzuri unaongeza hata ladha ya mapenzi asikufiche m2?Chukua mbaya uone kama utaenjoy life.
 
Uzuri wa sura umo katika macho ya mtazamaji, na utu wa mtu
hauangaliwi sura tu. Hata hoa Mamiss World hawachaguliwi kwa
sura zao nzuri tu. Tabia na uelewa wa mambo unazingatiwa pia.

Muhimu katika ndoa ni mapenzi ya dhati toka pande zote mbili.
Mkipendana (au ukishakupenda) mengine yote hamyazitangatii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom