Bitcoinbase
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 319
- 285
-Kunikosea unikosee wewe, msamaha niombe mimi
- Kupiga simu nipige mimi muda kidogo unakata.
- Kupewa unyumba unipangie wewe, nalala njaa huku gunia za mchele zimejaa mtaaani.
-Nisipo kutafuta hunitafuti, ukinitafuta unaomba hela tu.
- Mwanamke kiburi kimekujaa mpaka kwenye kucha.
-Kila ukipata hela unawaza kununua nguo tu, umejaza ndani mabegi ya nguo utadhani roboti za mitumba ya makoroboi.
Nasema bora tuachane
- Kupiga simu nipige mimi muda kidogo unakata.
- Kupewa unyumba unipangie wewe, nalala njaa huku gunia za mchele zimejaa mtaaani.
-Nisipo kutafuta hunitafuti, ukinitafuta unaomba hela tu.
- Mwanamke kiburi kimekujaa mpaka kwenye kucha.
-Kila ukipata hela unawaza kununua nguo tu, umejaza ndani mabegi ya nguo utadhani roboti za mitumba ya makoroboi.
Nasema bora tuachane
