Bora tuachane, nasema sio ridhiki yangu

Bora tuachane, nasema sio ridhiki yangu

Mkuu, naona umeamua kuandika mistari eehhhhh
Mkuu Mwanamke haoneshi kubadilika,, unajaribu kumwelekeza kuhusu future kusave money na kuwekeza kwenye miradi haelewi kila siku I love you, na mizinga juu,, kiburi nacho hicho, looooohjh Hawa viumbe nimewanyoshea miguuu
 
Mkuu Mwanamke haoneshi kubadilika,, unajaribu kumwelekeza kuhusu future kusave money na kuwekeza kwenye miradi haelewi kila siku I love you, na mizinga juu,, kiburi nacho hicho, looooohjh Hawa viumbe nimewanyoshea miguuu
Badilika yao ni wakishakuwa singo mother ..ndio wanapunguzaga hizo tabia zao..

Kiufup huyo habadiliki leo wala kesho... mteme mapema atakuletea hasara.
 
Badilika yao ni wakishakuwa singo mother ..ndio wanapunguzaga hizo tabia zao..

Kiufup huyo habadiliki leo wala kesho... mteme mapema atakuletea hasara.
Nmeshatema mzee.. Nimaintain usingle mwaka mmoja tu ninauhakika nitaweza kupiga hatua kubwa Sana kimaendeleo mambo yakurudishana nyuma yamepitwa Kama bazoka natema
 
Hahah!!

Vipi kwanza mitaa yako huko mvua inakuhusu?
Haa haa hz chenga chenga
Kama disco lshaingia tope

Aiseee mitaa yng huku n jua tu
Mwendo wa kuswet

Sema kaskazn mahome naskia inapga
kupga
 
Haa haa hz chenga chenga
Kama disco lshaingia tope

Aiseee mitaa yng huku n jua tu
Mwendo wa kuswet

Sema kaskazn mahome naskia inapga
kupga
Hahah!! Eti chenga chenga...

Mtoto yuko poa mzee katulia tu hana noma wala nini...

Jua kali tena mkuu au upo Oman nini?

Shunie njoo huku unasalimiwa
 
Hahah!! Eti chenga chenga...

Mtoto yuko poa mzee katulia tu hana noma wala nini...

Jua kali tena mkuu au upo Oman nini?

Shunie njoo huku unasalimiwa
Haa haa haa hatimae finally
Salut imepgwa noumaaa kweli

Kama umepatia vle sema nyuma ya Oman
Tunavuta tu jasho huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom