Huyu mzee kwa sasa ni wa kumpuuza tu kama wengine walioko katika chama cha kijani.Kauli ile ya kipumbavu huwezi kutegemea kama ingeweza kutolewa na MTU kama Dr Slaa.
Kama kulikuwa na Uzi umeshikilia heshima yake iliyokuwa imebaki basi ndio umekatika na sasa hana tofauti na taka zingine kama Waitara, Mtatiro nk