Bora nikate tamaa ili niwe salama

Bora nikate tamaa ili niwe salama

Usikate tamaa,kuna anko wangu mmoja alikuwa mlemavu Wa miguu kama wewe alizaliwa mzima baadae akapooza,alikuwa anafanya biashara zake kwa kuagiza watu na mambo yake yalikuwa yanaenda vizuri jaribu kutafuta watu sahihi wakukusaidia shughuli zako.
Sawa labda nitapata lakini nimejeruhiwa sana kuamini mtu mwingine tufanye biashara mtaji wenyewe napata kwa taaaabu halafu mtu anakuja kukuzika tu kirahisi aisee watu wabaya sana sikuizi
 
Pamoja kaka hatuna tofauti sana me na wewe... Am still fucked up najifunza kupunguza mambo kichwani.....
unakua na plans nyingi na hakuna unachotimiza......

One step at a time.... Kuna muda unaloose motivation kabisa ya kufanya chochote bkoz huoni mwanga huko mbele.... Tuwe na amani tu ya moyo either we nake it or not
Pole sana mkuu kama wapitia changamoto inayofanana na yangu atleast unaelewa kumbe kukata tamaa wakati mwingine ni njia sahihi ingawa wengi hawajanielewa
 
Pole saana mkuu, ila ni bora kushindana na wewe mwenyewe kuliko kushindana na mtu mwingine,

Namaanisha jaribu kupambana kuvuka mafanikio yako ya jana bila kuangalia jirani kafanikiwa vipi.

Watu wananjia zao ambazo huzijui so ukijaribu kuwaiga utaishia kuumia kila siku
Nakuelewa mkuu na wala sishindani na yeyote ila tu changamoto zangu ambazo nazo naona zinanizidi uwezo
 
uti wa mgongo ulisinyaa (spinal stenosis), zikaja complications nyingine kibao viungo vikaanza kufeli. Labda nipate pesa nyingi sana nearly 50M ili nikajaribu kutibiwa nje ya nchi, uhakika wa kupona ni 50/50
Umewahi kuongea na Dr. Othman privately? Dr. Othman wa Moi
 
Naomba msianzishe mijadala ya dini please!
Huyo wala hajaanzisha mjadala wa dini ni mtu ambae hajui kitu na hajua kuwa hajui yaani kwa tafseer sahihi ni mpumbavu na sio mjinga. Ustaadhi sijui anahusikaje na kuswalisha mfano ustaadi wa biology tuseme
 
uti wa mgongo ulisinyaa (spinal stenosis), zikaja complications nyingine kibao viungo vikaanza kufeli. Labda nipate pesa nyingi sana nearly 50M ili nikajaribu kutibiwa nje ya nchi, uhakika wa kupona ni 50/50
Samahani nimerudi tena mwanzoni nilikushauri kukutana na Dr. Othman. Nimefanya hivyo kwasababu niliwahi kukutana na changamoto inayofanana na hiyo. Mke wangu alipatwa na tatizo kama hilo na alikuwa wakubebwa tu kwenda popote mwishowe daktari mmoja alikuja hospitali moja mitaa ya upanga akitokea APPOLLO na alitushauri kwenda India hta hivyo kuna mtu alituelekeza kwa huyu Dr. nimayemsema nikazungumza naye na yakafanyika mambo makubwa sana kwa gharama kidogo sasa hivi mke wangu yuko bomba kuliko hata zamani
 
Huyo wala hajaanzisha mjadala wa dini ni mtu ambae hajui kitu na hajua kuwa hajui yaani kwa tafseer sahihi ni mpumbavu na sio mjinga. Ustaadhi sijui anahusikaje na kuswalisha mfano ustaadi wa biology tuseme
Sure.
here-ithink-you-dropped-this-39628760.jpeg
 
Samahani nimerudi tena mwanzoni nilikushauri kukutana na Dr. Othman. Nimefanya hivyo kwasababu niliwahi kukutana na changamoto inayofanana na hiyo. Mke wangu alipatwa na tatizo kama hilo na alikuwa wakubebwa tu kwenda popote mwishowe daktari mmoja alikuja hospitali moja mitaa ya upanga akitokea APPOLLO na alitushauri kwenda India hta hivyo kuna mtu alituelekeza kwa huyu Dr. nimayemsema nikazungumza naye na yakafanyika mambo makubwa sana kwa gharama kidogo sasa hivi mke wangu yuko bomba kuliko hata zamani
Ooh wapi sasa anapatikana huyo Dr. Othman?
 
Back
Top Bottom