July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 794
Annivesary-
Mke aliamka saa nane za usiku kakuta mumewe hayuko kitandani,akamkuta yuko sebuleni akiwa na mawazo tele;
MKE: Jamani vipi tena usiku huu?
MUME: Unakumbuka siku baba yako alipogundua una mimba yangu nakunilazimisha
nikuoe au la atanifunga miaka kumi?
MKE: He kumbe ndio unalokumbuka?
MUME: (huku machozi
yakidondoka) Kama ningekukataa leo ningekuwa huru natoka jela..#kama marudio samahani
Mke aliamka saa nane za usiku kakuta mumewe hayuko kitandani,akamkuta yuko sebuleni akiwa na mawazo tele;
MKE: Jamani vipi tena usiku huu?
MUME: Unakumbuka siku baba yako alipogundua una mimba yangu nakunilazimisha
nikuoe au la atanifunga miaka kumi?
MKE: He kumbe ndio unalokumbuka?
MUME: (huku machozi
yakidondoka) Kama ningekukataa leo ningekuwa huru natoka jela..#kama marudio samahani