tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
Salaam wana jf,
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.